elimu ya kenya imejikita zaidi katika kumuandaa mwanafunzi awe na confidence ya kuzungumza kingereza, haijajikita katika kumfanya mwanafunzi awe knowledgeable katika fani mbalimbali za kitaaluma.
ndio maana baadhi ya wakenya waliojariwa tz wanafanya kazi katika vitengo vya mawasiliano, marketing, ualimu wa somo la kingereza na public relation. kwasababu kiasili anayefanya kazi za namna hiyo anatakiwa kuwa mtu wa kuzungumza sana kuliko kutenda pia anatakiwa angalau ajue kuzungumza kingereza.
ila wakenya wa tanzania hawathubutu kuomba kazi katika idara za kiufundi (technical and practical base positions),huko wengi wapo zero. na wanaobahatika kupata ajira katika eneo hili huwa wana underperform na baadaye huachishwa kazi. nina ushahidi katika hili.
maeneo hayo yote tunasimama wenyewe watanzania na waajiri wanalijua hilo vizuri sana.
hii ni fact so anayetaka kutoa povu na atoe tu, ruksa.