Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

halafu utasikia wakenya wachache vilaza hapa jf wakisema wakenya hawafatilii masuala ya tanzania... media za kenya haziandiki yanayoendelea tanzania and blablabla.

mwanamziki mchanga wa mziki wa gospel goodluck gozbert ambaye alianza kuvuma late last year kaandikiwa makala page nzima na magazine ya kenya. hakika mziki wa tanzania hauna mpinzani kenya.

sijawahi kuona msanii wa kenya akiandikwa page nzima na magazine za tanzania. ruksa kutoa povu.

IMG_20181006_104613.jpeg
Screenshot_2018-10-06-10-43-37-895_com.instagram.android.jpeg
 
halafu utasikia wakenya wachache vilaza hapa jf wakisema wakenya hawafatilii masuala ya tanzania... media za kenya haziandiki yanayoendelea tanzania and blablabla.

mwanamziki mchanga wa mziki wa gospel goodluck gozbert ambaye alianza kuvuma late last year kaandikiwa makala page nzima na gazeti la kenya. hakika mziki wa tanzania hauna mpinzani kenya.

sijawahi kuona msanii wa kenya akiandikwa page nzima na magazine za tanzania. ruksa kutoa povu.

View attachment 888238View attachment 888239
Wehu hawa! Kutwa wanabonga mastory za. Tz! Huko Churchil show sijui na mavipindi zao kwa Tz na Radios! Kwa ujumla Mkenya atapata taabu sana kuishi bila MTz ila MTz haezi pata taabu kuishi bila MKe hata!
 
Dar es salaam avenue ndani ya germany,wazee wa kibera mkiona vitu kama hivi mnapata tabu sanaView attachment 888260
Sasa unaringa na vitu za Germany? Wabongolala kweli ni bongolala.

Anyway, the first photo is of City of Nairobi Park in Denver and the second photo is of city of Nairobi Park in Clayton US. There are so many places named after Kenyan things around the world but it's no big deal.
images (1).jpg

images (2).jpg
 
Vitu za class 6 huko kwenu mnafunzwa high school.
Aiii
Sie tunasoma ordinary level sec school hyo, high school wanasoma deep zaidi

Elimu ya sekondari uku imegawanyika mara 2 ,kuna ordinary level & Advanced level ndio maana uku secondary kama kichwa kizima unasoma miaka 6
 
elimu ya kenya imejikita zaidi katika kumuandaa mwanafunzi awe na confidence ya kuzungumza kingereza, haijajikita katika kumfanya mwanafunzi awe knowledgeable katika fani mbalimbali za kitaaluma.

ndio maana baadhi ya wakenya waliojariwa tz wanafanya kazi katika vitengo vya mawasiliano kwa umma, marketing, ualimu wa somo la kingereza na public relation. kwasababu kiasili anayefanya kazi za namna hiyo anatakiwa kuwa mtu wa kuzungumza sana kuliko kutenda pia anatakiwa angalau ajue kuzungumza kingereza.

ila wakenya wa tanzania hawathubutu kuomba kazi katika idara za kiufundi (technical and practical base positions),huko wengi wapo zero. na wanaobahatika kupata ajira katika eneo hili huwa wana underperform na baadaye huachishwa kazi. nina ushahidi katika hili.

maeneo hayo yote tunasimama wenyewe watanzania na waajiri wanalijua hilo vizuri sana.

hii ni fact so anayetaka kutoa povu na atoe tu, ruksa.
 
Rubbish! And deep inside you probably know that you are writing a crappy comment like this to lure your fellow poor nyangaus with no idea or totally confused of what Dar is made up of.
Dar is all a slum...all of it dude aerial photos prove that
 
elimu ya kenya imejikita zaidi katika kumuandaa mwanafunzi awe na confidence ya kuzungumza kingereza, haijajikita katika kumfanya mwanafunzi awe knowledgeable katika fani mbalimbali za kitaaluma.

ndio maana baadhi ya wakenya waliojariwa tz wanafanya kazi katika vitengo vya mawasiliano, marketing, ualimu wa somo la kingereza na public relation. kwasababu kiasili anayefanya kazi za namna hiyo anatakiwa kuwa mtu wa kuzungumza sana kuliko kutenda pia anatakiwa angalau ajue kuzungumza kingereza.

ila wakenya wa tanzania hawathubutu kuomba kazi katika idara za kiufundi (technical and practical base positions),huko wengi wapo zero. na wanaobahatika kupata ajira katika eneo hili huwa wana underperform na baadaye huachishwa kazi. nina ushahidi katika hili.

maeneo hayo yote tunasimama wenyewe watanzania na waajiri wanalijua hilo vizuri sana.

hii ni fact so anayetaka kutoa povu na atoe tu, ruksa.
stupid backstreet analysis......zain africa challenge ni university za nigeria na kenya ndio zilikuwa zinawin......and in tanzania a person like Prof.P.L.O Lumumba is idolized but in kenya he is a laughing stock of a low grade lawyer
 
Sasa unaringa na vitu za Germany? Wabongolala kweli ni bongolala.

Anyway, the first photo is of City of Nairobi Park in Denver and the second photo is of city of Nairobi Park in Clayton US. There are so many places named after Kenyan things around the world but it's no big deal.
View attachment 888272
View attachment 888273



hahahaha.....nice one..............
 
stupid backstreet analysis......zain africa challenge ni university za nigeria na kenya ndio zilikuwa zinawin......and in tanzania a person like Prof.P.L.O Lumumba is idolized but in kenya he is a laughing stock of a low grade lawyer
Kenya this Kenya that wooo, my fren Kenya ed is nothing serious bana,try something else,mmeweza kulima chai na miraa kudos
 
Acha kutudharau wewe. Tunakielewa kiswahili kuliko vile nyie mnakielewa kimombo. Ni wasanii wengi wa injili mie hutazama/kuskiza.Napendanyimbo za injili kwa ujumla.
Hapana wakenya wengi kisw hamjui tafuta mwingine ukamdanganye!!
 
Some people here giving excuses for their poor education. Do you even know UoN has surpassed makerere university to be the best in East and central Africa? There are majority of Africans studying in Kenyan universities
 
Back
Top Bottom