PowelTz
JF-Expert Member
- Sep 9, 2018
- 596
- 373
Siwezi kujibu nonsense!!!Alafu zanzibar km nchi...imeshinda mombasa(city) kw kitu gani haswa mayb kw watalii ila sidhani km gap ni kubwa...bt kw sekta zngne mombasa imeichakaza hyo nchi vibaya sana
Siwezi kujibu nonsense!!!Alafu zanzibar km nchi...imeshinda mombasa(city) kw kitu gani haswa mayb kw watalii ila sidhani km gap ni kubwa...bt kw sekta zngne mombasa imeichakaza hyo nchi vibaya sana
Someni hapa kidogo tujue siri
Haha uku sasa hvi kwa moto, utajua jinsi utavyoiba lakini usishtukiwe tu,maana watakumaliza,hii inasaidia sana walau kupunguza huu ujinga wa watu kujitajirisha kupitia miradi tena vifua mbele bila kuogopa chochote ilikua too muchkenya kula hyo nkm kawa...utakuwaje kiongozi alafu ukose hata ka mtaji kakujiendesha badae...
Ila ukweli wakenya magoli yao makali aisee...mpira wa kufunga na kichwa jamaa anafunga kw mkono km vile maradona![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Lkn sai uhuru anajaribu kupambana na hao wasee..bt usiseme bongo km wanasiasa hawachukui hta shillingi kumi..
your profit 😂😂😂😂Tumesoma na tukaijua siri.
That you are blank. What have you taken anyway? 😂😂😂😂
😂😂😂😂no problemyour profit 😂😂😂😂
asante kwa renders😂😂😂👏👏👏Baathi ya miji midoho ambayo inajengwa ama kupangwa
1tatu city
2tilisi city
3river run
4two rivers city(kwenye 2rivers mall iko)
4northlandsView attachment 881186View attachment 881189View attachment 881190View attachment 881188View attachment 881191View attachment 881193View attachment 881194View attachment 881192
Wazae, wakati bado mnapingana Nai versus Dar oneni Lwanda. Lwanda imeendelea sana ukikumbuka Angola ilikuwa vitani miaka ishirini iliyopita. Lwanda ni kubwa pengine kushinda hizi capital city zetu tunazogombania kila siku. Cheki video
Cuba ndio iliyoipea uhuru. Unadhani unaongea na mtu hajasoma historia?na ukumbuke pia ilipewa uhuru na tanzania hio usisahau tanzania ilijitolea kiuchumi na kiutawala kuipa angola uhuru na amani😂😂😂😂👏👏👏👏👏
soma hapa historia ya angola wew kumbe tanzania huijui vzr😂😂😂👇👇👇👇Cuba ndio iliyoipea uhuru. Unadhani unaongea na mtu hajasoma historia?
Lamba loloKipovu cha taratibu umekitoa.
Hapo sasa...wamejaza hela matumboni mwao tu..Haha uku sasa hvi kwa moto, utajua jinsi utavyoiba lakini usishtukiwe tu,maana watakumaliza,hii inasaidia sana walau kupunguza huu ujinga wa watu kujitajirisha kupitia miradi tena vifua mbele bila kuogopa chochote ilikua too much
Hiz miji miwil abidjan na accra bado sana kwa dar,abidjan wamejenga tu gorofa chache pembezon wa bahar basi,accra hamna cha maana.Hivi west Africa wanatuzidi wapi zaidi? Maana Lagos imetuzidi kiuchumi,Accra inasumbua na Abidjan, are we getting any better?Au blahblah tu ndio tunaweza