Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mada ilishafungwa wewe monkey Tz 6 cities,kenya 3 cities,,.
Imefungwa Nani naomba unilitee cities
tapatalk_1537469109226.gif
 
Cities in Tanzania are Dar, Mwanza, Arusha, Mbeya, Tanga and Dodoma. The rest have not qualified to be given the status as cities. Nakushangaa wewe unayesema kwamba wikipedia inasema kuna 100 cities in Kenya labda umedevelop application software mwenzetu ukaiita wikipedia
Nakushangaa pia. Do you know the meaning of a town and a city?
Blame wikipedia not me. They are in chronological order. 31 cities and towns from tz .3 cities 28 towns.
5 cities and 95 towns in Kenya.
Sasa nenda kaambie wikipedia wabadilishe kwa sababu sijui madhumuni yao yalikuwa yepi wakizipanga hivi
 
Nakushangaa pia. Do you know the meaning of a town and a city?
Blame wikipedia not me. They are in chronological order. 31 cities and towns from tz .3 cities 28 towns.
5 cities and 95 towns in Kenya.
Sasa nenda kaambie wikipedia wabadilishe kwa sababu sijui madhumuni yao yalikuwa yepi wakizipanga hivi
no nakublame wewe ambaye una moyo wa kichawi kwenda wikipedia ili sijui utuchafue sijui upate sifa, na nimeshakwambia kuwa Tanzania ina 6 cities
 
Wazae, wakati bado mnapingana Nai versus Dar oneni Lwanda. Lwanda imeendelea sana ukikumbuka Angola ilikuwa vitani miaka ishirini iliyopita. Lwanda ni kubwa pengine kushinda hizi capital city zetu tunazogombania kila siku. Cheki video
 
Nakushangaa pia. Do you know the meaning of a town and a city?
Blame wikipedia not me. They are in chronological order. 31 cities and towns from tz .3 cities 28 towns.
5 cities and 95 towns in Kenya.
Sasa nenda kaambie wikipedia wabadilishe kwa sababu sijui madhumuni yao yalikuwa yepi wakizipanga hivi
Ndiyo maana nilikuambia hujui kitu,kenya incities 3 tu Nairobi,mombasa na kisumu,Tz 6 cities
 
no nakublame wewe ambaye una moyo wa kichawi kwenda wikipedia ili sijui utuchafue sijui upate sifa, na nimeshakwambia kuwa Tanzania ina 6 cities
Weeewe be. careful calling me a witch.
I had no ill intentions. I was just stating a fact here just how wikipedia have put it .l just wanted you to tell us whether it's true that tz have 31 cities and towns since it is has a large geographical area. I normally don't rely on Wikipedia for information I prefer Google.
 
Weeewe be. careful calling me a witch.
I had no ill intentions. I was just stating a fact here just how wikipedia have put it .l just wanted you to tell us whether it's true that tz have 31 cities and towns since it is has a large geographical area. I normally don't rely on Wikipedia for information I prefer Google.
ok kwanza ngoja nikucorrect. Google ni search engine tu so inadisplay information kutoka kwenye sources mbalimbali including wikipedia unless kama kuna website unayoiamini ambayo inatoa reliable information and then i'm pretty sure kuwa ulikuwa unataka kuionyesha Tanzania kuwa Kenya iko more urbanized which I think is true lakini tafadhali hata kama tunaonyeshana kuwa mmoja ni bora kuliko mwingine, tafuta credible facts na sio wikipedia maana hapa kuna computer scientists, you'll get busted real quick
 
Wazae, wakati bado mnapingana Nai versus Dar oneni Lwanda. Lwanda imeendelea sana ukikumbuka Angola ilikuwa vitani miaka ishirini iliyopita. Lwanda ni kubwa pengine kushinda hizi capital city zetu tunazogombania kila siku. Cheki video

Alokuambia Luanda kubwa nani!!
Luanda nisehemu ndogo sana imejengeka
Labda tusubiri mradi wao waliomkabidh mchina ukamilike hapo kiasi sawa
kwasasa nimajengo yaliyopo Pembezonj mwa Bahari pekee nje ya hapo ni taabu tupu
Jaribuni kutembea msipende Picha na video zinazo chukuliwa Sehemu Nzuri nzuri pekee
 
ok kwanza ngoja nikucorrect. Google ni search engine tu so inadisplay information kutoka kwenye sources mbalimbali including wikipedia unless kama kuna website unayoiamini ambayo inatoa reliable information and then i'm pretty sure kuwa ulikuwa unataka kuionyesha Tanzania kuwa Kenya iko more urbanized which I think is true lakini tafadhali hata kama tunaonyeshana kuwa mmoja ni bora kuliko mwingine, tafuta credible facts na sio wikipedia maana hapa kuna computer scientists, you'll get busted real quick
huyo housemaid tangu ajiunge jf na kuanza kushiriki kwenye mijadala ya battle, hata siku moja hajawahi kuweka facts.
anachojua yeye ni kupiga porojo na kuweka emotion zake mbele.

nilijaribu kumshauri kwa kumwambia kwamba ajitahidi kuwa smart cos hii battle inafatiliwa sana na watu mbalimbali mashuhuri katika serikali ya kenya ma tanzania, hakutaka kunisikia.

ila mumzoee tu, labda uwezo wake wa kujenga hoja ni mdogo,tusimlaumu sana.

binafsi nimeshampuuza japo anatamani sana niwe nam-qoute.
 
ok kwanza ngoja nikucorrect. Google ni search engine tu so inadisplay information kutoka kwenye sources mbalimbali including wikipedia unless kama kuna website unayoiamini ambayo inatoa reliable information and then i'm pretty sure kuwa ulikuwa unataka kuionyesha Tanzania kuwa Kenya iko more urbanized which I think is true lakini tafadhali hata kama tunaonyeshana kuwa mmoja ni bora kuliko mwingine, tafuta credible facts na sio wikipedia maana hapa kuna computer scientists, you'll get busted real quick
Nawashangaa sana wanao bishana nahuyo Kilaza
Post zake humu unajiuliza huyu mzima kweli!!
Unapoteza mudawako ndugu
 
Back
Top Bottom