kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
asante kwa kufatilia...please spread the news.Uzinduzi kuendelea kama kawa pale bongo.












asante kwa kufatilia...please spread the news.Uzinduzi kuendelea kama kawa pale bongo.












Usisahau GDP itakua over $300bn....so $69bn is just pocket change.jubileee tibim
wakwapi wazee wa GDP
tayari jpm ameshawasili eneo la tukio.tukio lipo live kwenye tv na online platforms.
wakenya bila shaka kwenye tecno zenyu mme-install app ya azam tv mkifatilia kimya kimya uzunduzi wa flyover.
povu ruksa ni mwendo wa kudungwa sindano tu.
View attachment 879213
You follow our news but we dont follow yoursasante kwa kufatilia...please spread the news.![]()
jifariji nyangau, GDP yenyewe mchango wa mkenya ni neglible, makampuni makubwa, viwanda, biashara kubwa, mashamba yenye rutuba vyote vimeshikwa na wageni!Usisahau GDP itakua over $300bn....so $69bn is just pocket change.
Your so over ambitious my fren ,ur current GDP is $80+bln the country of over 45Million people ,dreaming abt $300bln now it's like flight of ideasUsisahau GDP itakua over $300bn....so $69bn is just pocket change.
nisisahau itakua lakini haijakua😂😂😂😂👏👏👏👏👏👏👏 ikiwa munadai GDP of 80b alaf debt 70b hahahah ama kweli subirieni kuuzwa tuUsisahau GDP itakua over $300bn....so $69bn is just pocket change.
we waijuwa mathare ama vp..nadhani umesimuliwa kijiweni...mathare kuna barabara kali sana ambayo kuipata bongo ni ndoto..ile mijengo iliyojengwa kibera tandale kuipata pia ni ndoto...Hamna na haitakaa itokee mji wowote wa TANZANIA uwe na mbanda kama ya KIBERA, KARIOBANGI, MATHARE and alike
aisee jamaa ndoto yake imenyooka from 80 coocked GDP to 300😂😂😂😂😂😂Your so over ambitious my fren ,ur current GDP is $80+bln the country of over 45Million people ,dreaming abt $300bln now it's like flight of ideas
nisisahau itakua lakini haijakua😂😂😂😂👏👏👏👏👏👏👏 ikiwa munadai GDP of 80b alaf debt 70b hahahah ama kweli subirieni kuuzwa tu
Kuna wanaume hapa wanaopigwa na wake zao? Hebu watag waje wajiteteeSio kweli sister, sisi tunajua sana kucare, hasa Mimi.. Haya mautani huwa tunawatania kina Govi Depay na Wanaume wengine wa Kenya humu wanaopigwa na bibi zao.
jifariji nyangau, GDP yenyewe mchango wa mkenya ni neglible, makampuni makubwa, viwanda, biashara kubwa, mashamba yenye rutuba vyote vimeshikwa na wageni!
Na nyinyi mko na madaraja madogo?kenya kama mnayo fly over ni moja, nyingine ni kama madaraja madogo tu
umebadilisha mada😂😂😂😂👏👏👏👆👆
sio mm hapa kaka😂😂😂😂😂👇👇👇heheee!!eti 70b....yaonyeshe ukiskia jina kenya huaga watokwa na povu
anhahaha modern marine transport umekosa siku mukifika hapa nitag😂😂😂👇👇👏👏hoja zako hazina mshiko...endelea kuruka ruka tu..hapa kwangu huwezani..
anhahaha modern marine transport umekosa siku mukifika hapa nitag😂😂😂👇👇👏👏
Top ten ni mmoja tu wa asili ya kitanzania. Hao wengine ni wahindi na waarabuleta hyo list ya kampuni kubwa ambazo zinashikiliwa na wageni..na mi pia nikuletee wahindi wanavyo wachakaza kwenu...
hebu nipe top ten richest people wa tz