Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

china Mungu kashawaona😂😂😂😂😂👇👇👇👇👇👇👇👇👇


mchina ni rafiki yetu, tunaheshimiana kwa sababu kila mmoja wetu ana manufaa kwa mwenzake, wenzetu wanapenda vya bure! Tanzania tuliisaidia china kupata kiti cha kudumu UN, wakati huo nyangau mnaserebuka na nyimbo za mwanakatitu, Tanzania tumewaajiri wachina kwa pesa zetu za ndani kututengenezea flyover ubungo, nyangau mnataka mikopo bila riba kuendeshea serikali! hahahahahahah, Mtumeni kenyata dar akapige magoti kwa mzee MAGU tutaweza kumwombea kwa wachina wawasubirisubiri kidogo!
 
tayari jpm ameshawasili eneo la tukio.tukio lipo live kwenye tv na online platforms.

wakenya bila shaka kwenye tecno zenyu mme-install app ya azam tv mkifatilia kimya kimya uzunduzi wa flyover.

povu ruksa ni mwendo wa kudungwa sindano tu.

Screenshot_2018-09-27-10-17-40-293_com.azamtv.news.jpeg
 
Back
Top Bottom