Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

asante magu kazi tu

Yapaswa wakenya wajue kuwa Tz ni hatari na hutengeneza vitu kwa mikakati kulingana na mahitaji na siyo kutengeneza ilinradi yaani unatengeneza flyover porini mfano pale lamu wakati sehemu husika haina hata hayo mahitaji ni matumizi mabovu ya pesa
 
This is what every kenyan huwa wanashangaa...sasa when a road is being extended unaskia magu asifiwe...magu mungu wetu..magu mpaka milele...kwani hamna minister wa ujenzi....ama magu ndo anadetermine choo itajengwa wapi ama magu ndo kufungua lift ya kwanza nchi yao....nawahurumia kweli...
Ulitaka tumtaje uhuru....wacha jazba zakuchikoraa magufuli ni raisi wetu na tutamtaja mpaka mioyo uwapasuke
 
I'm just gonna leave this here. Not that it's something to be proud of.. but anyway
IMG_20180811_144626.jpg


2015 data
 
nakukumbusha tu najua umesahau

dar ina watu million 5 na city area ni 1600km sq

nairobi ina watu 4.5million na city area 696km sq
Ushamba na ujinga utakua kisa cha kifo chako. Sasa unafikiria hao watu umetaja wanafungiwa katika the confines of that 696kmsq? Unafikiria Nairobi ni zizi?

Nairobi METRO is bigger than your dar. Know the word.

METROPOLITAN
images%20(1).jpg
IMG_20180707_120720.jpg
 
Back
Top Bottom