nimekaa maeneo ya upper emanuel estate na pia maeneo ya jujaUlikuwa side gani 😂😂
Siwezi kukuonyesha.......huu siyo uzi wa passpot .....sample uliyoonyeshwa inakutosha "...hatufananiWapi immigration stamp ya passport yako..wait..ata nadhani hauna...ushawai toka tz ...do you have the exposure..na wewe unafanya nini kwa thread ya kenya...si kuna uzi ya wabongo kama nyinyi..haujafika level buda..come slow[emoji23]
[emoji134]Huyo ni mkaazi wa Tandale hata Dar yenyewe hajaizoea vizuri, bado anatishtuka shtuka akiona daladala.
Ni mwendo wakufanya biashara sasaNa iwe hivo kwa manufaa ya uchumi wetu baada ya bomba la mafuta from Hoima to Tanga, bomba la gesi kutoka Tz to Ug naamin hata hilo la reli ya kisasa zaidi linawezekana pia.
Bravo My President JPM
Yaani watanzania wachache sana ndo wanaweza kuacha kukaa Goba kwenye likiwanja la 900sqm akakae kwenye vighorofa kama hivo viestaste vya kenya. Tanzanians love space and we have plenty of it!!!!wakenya wengi hawana ndoto ya kujenga wala kumiliki ardhi kwasababu ardhi nyingi imechukulia na watu wachache sana sasa wao huridhika kuishi kwenye maisha ya slums na kama anajimudu kidogo atasogea kwenye bedsitter kamaliza lakini ndoto ya kumiliki kiwanja pamoja nyumba haipo kwenye akili zao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wewe unaeza amini kenyatta anamiliki ardhi ya kuweka wakenya million 20
Kijana uko mchafu aje?Siwezi kukuonyesha.......huu siyo uzi wa passpot .....sample uliyoonyeshwa inakutosha "...hatufananiView attachment 830005
The way Tanzanians argue is pitifully entertaining
Dah kumbe upo nilijua umekufa....Kijana uko mchafu aje?
Evidence priss.nairobi nimefika sana na pia nimekaa kwa masiku mengi tu😂😂😂😂😂
Hebu picha ya your Judiciary naona ya Kenya ipo smart sana.Siwezi kukuonyesha.......huu siyo uzi wa passpot .....sample uliyoonyeshwa inakutosha "...hatufananiView attachment 830005
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hawataki utalii wakati maisha kama hayo hutapata juu ya ulimwengu huu[emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Atatumia google., ask him a specific joint in juja or apartment name or a shop., all Matatu numbers zenye zinapita that route na za Upper.., vile amesema., a Tanzanian who has stayed in Nairobi proper cant argue like him., those poor ones who are condemned to one part of Nairobi coz of financial difficulty ndio wana reason kama yeye, they think Nairobi is where they afford to live or their experience, waoga hata kutembea around they can't afford, pesa hawana wanajazana Kibera, ama Kayole., especially wengi ni hawkers, wanauza vitenge na chupi mitaani, kwao uwezi tembeza vitu eti unauza kama vile wanafanya huku n no one bothers them, na wewe ni raiya wa kigeni, especially mkenya, raiya wa Tz watakuitiya polisi, wana chuki!Evidence priss.
Kaka shwarii. NAOMBA picha za by pass ya ARUSHA.Hivi inakuaje Kuna ugali mkubwa vile? [emoji23]
Soon kilimani will grow into a fourth CBD, based on development that is happening there., though Mombasa road is also up in arms at a fast rate..,Kilimani. Look how far it is from the city
Kilimani. Look how far it is from the city
SinaHebu picha ya your Judiciary naona ya Kenya ipo smart sana.
You forgetting Westlands.Soon kilimani will grow into a fourth CBD, based on development that is happening there., though Mombasa road is also up in arms at a fast rate..,
[emoji3] [emoji3] [emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]