AbassChizzy
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 546
- 201
Jichochd tuhawataki utalii wakati maisha kama hayo hutapata juu ya ulimwengu huu[emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Jichochd tuhawataki utalii wakati maisha kama hayo hutapata juu ya ulimwengu huu[emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
leta source hapa😂😂😂😂Jichochd tuView attachment 829967
The way Tanzanians argue is pitifully entertaining
ukianza kumhoji mkenya swali moja baada ya jingine kuhusu haya mambo,utashangaa kapotea kiaina.Na hata hao 2M umewapendelea kuwaweka kwenye makazi bora...maana kwa mujibu wa akili zao fupi huamini mtu anayekaa kwenye zile kota zao ndiye mwananchi anayeishi kwenye makazi bora kwa mahesabu ya haraka zile vibanda za nyayo estate sijui thika haziwezi kuhumudu watu hata laki 7...ni chache sana
Wakija hapa wanapiga kelele na zile zile estate zao miaka nenda rudi ambazo haziwezi kuhumudu hata watu laki tatu ...africa center ni maoni ya watu[emoji116][emoji116][emoji116]
wakenya wengi hawana ndoto ya kujenga wala kumiliki ardhi kwasababu ardhi nyingi imechukulia na watu wachache sana sasa wao huridhika kuishi kwenye maisha ya slums na kama anajimudu kidogo atasogea kwenye bedsitter kamaliza lakini ndoto ya kumiliki kiwanja pamoja nyumba haipo kwenye akili zao😂😂😂😂😂😂ukianza kumhoji mkenya swali moja baada ya jingine kuhusu haya mambo,utashangaa kapotea kiaina.
kwamba yale mambweni yafikie laki saba,hii haiwezekani,na wakati ndio makazi yenye watu wengi zaidi.
Kweli maandazi sana hawa wakenya..ukianza kumhoji mkenya swali moja baada ya jingine kuhusu haya mambo,utashangaa kapotea kiaina.
kwamba yale mambweni yafikie laki saba,hii haiwezekani,na wakati ndio makazi yenye watu wengi zaidi.
kuna siku moja nilikua mombasa mwenyej wangu akanionesha nyumba ya kenyatta iko maeneo ya nyali aisee kiwanja ni kikubwa vibaya mno kimezungushiwa wallukianza kumhoji mkenya swali moja baada ya jingine kuhusu haya mambo,utashangaa kapotea kiaina.
kwamba yale mambweni yafikie laki saba,hii haiwezekani,na wakati ndio makazi yenye watu wengi zaidi.
unajua baada ya wao kujikuta wameangukia kwenye shimo la slums sasa wanataka kulazmisha na sisi tufanane nao ili tusiwe na hoja ya kusema😂😂Kweli maandazi sana hawa wakenya..
............tutaijenga hii hoja ,,
twitter my friend hio😂😂👆👆👆👆
kuna siku moja nilikua mombasa mwenyej wangu akanionesha nyumba ya kenyatta iko maeneo ya nyali aisee kiwanja ni kikubwa vibaya mno kimezungushiwa wall
twitter hakuna ujinga kama unavofkiri kwenye akili yako huko wako watu wenye akili zao na uzuri wa twitter ukitoa habari ya uongo wanaiblock😂😂😂😂😂kumbe ni Twitter... ... Tihahahhaaaaa. Leo nimecheka yangu yote. Si utapasuka msamba jirani. I told you hakuna thibitisho hapo.
ukija na facts njoo na source tatizo lako wewe unamuona mzungu mjinga sana google earth aeke slums za nairobi alaf asieke slum in dar😂😂😂😂Just realised tanzanians dont know how to debate...you give them facts wanasidestep...ukionyesha mtanzania paka atapiga kabisa then aseme ni mbwa...ni akili hawana na reasoning poor sana
Wamefeli hawa wakenyaunajua baada ya wao kujikuta wameangukia kwenye shimo la slums sasa wanataka kulazmisha na sisi tufanane nao ili tusiwe na hoja ya kusema[emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] yani ni kenya pekee umefika...woi..ndo maana uko na kiburi. ..kuwa mpole kaka...tembea nchi zingine...enda southafrica ujione mambo...nenda abuja...then compare what you have back home. You will never be more dissapointed...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 829977View attachment 829978View attachment 829979
sasa wahamie kwenye GDP yenye unemployment rate 40%😂😂😂😂Wamefeli hawa wakenya
hio nimekuonesha pages za kenya tu hapo sijakuonesha zingine 😂😂😂👆👆👆[emoji23] [emoji23] yani ni kenya pekee umefika...woi..ndo maana uko na kiburi. ..kuwa mpole kaka...tembea nchi zingine...enda southafrica ujione mambo...nenda abuja...then compare what you have back home. You will never be more dissapointed...