Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hawataki utalii wakati maisha kama hayo hutapata juu ya ulimwengu huu[emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Jichochd tu
Screenshot_2018-08-08-09-22-10~2.jpg
 
kwanini mukasirike wakat mzungu anakuja kushangaaa kuona vile binaadamu anaishi kwenye maisha hata nguruwe hawes kuishi


 
Na hata hao 2M umewapendelea kuwaweka kwenye makazi bora...maana kwa mujibu wa akili zao fupi huamini mtu anayekaa kwenye zile kota zao ndiye mwananchi anayeishi kwenye makazi bora kwa mahesabu ya haraka zile vibanda za nyayo estate sijui thika haziwezi kuhumudu watu hata laki 7...ni chache sana
ukianza kumhoji mkenya swali moja baada ya jingine kuhusu haya mambo,utashangaa kapotea kiaina.

kwamba yale mambweni yafikie laki saba,hii haiwezekani,na wakati ndio makazi yenye watu wengi zaidi.
 
ukianza kumhoji mkenya swali moja baada ya jingine kuhusu haya mambo,utashangaa kapotea kiaina.

kwamba yale mambweni yafikie laki saba,hii haiwezekani,na wakati ndio makazi yenye watu wengi zaidi.
wakenya wengi hawana ndoto ya kujenga wala kumiliki ardhi kwasababu ardhi nyingi imechukulia na watu wachache sana sasa wao huridhika kuishi kwenye maisha ya slums na kama anajimudu kidogo atasogea kwenye bedsitter kamaliza lakini ndoto ya kumiliki kiwanja pamoja nyumba haipo kwenye akili zao😂😂😂😂😂😂

wewe unaeza amini kenyatta anamiliki ardhi ya kuweka wakenya million 20
 
ukianza kumhoji mkenya swali moja baada ya jingine kuhusu haya mambo,utashangaa kapotea kiaina.

kwamba yale mambweni yafikie laki saba,hii haiwezekani,na wakati ndio makazi yenye watu wengi zaidi.
Kweli maandazi sana hawa wakenya..
............tutaijenga hii hoja ,,
 
ukianza kumhoji mkenya swali moja baada ya jingine kuhusu haya mambo,utashangaa kapotea kiaina.

kwamba yale mambweni yafikie laki saba,hii haiwezekani,na wakati ndio makazi yenye watu wengi zaidi.
kuna siku moja nilikua mombasa mwenyej wangu akanionesha nyumba ya kenyatta iko maeneo ya nyali aisee kiwanja ni kikubwa vibaya mno kimezungushiwa wall
 
Just realised tanzanians dont know how to debate...you give them facts wanasidestep...ukionyesha mtanzania paka atapiga kabisa then aseme ni mbwa...ni akili hawana na reasoning poor sana
 
kuna siku moja nilikua mombasa mwenyej wangu akanionesha nyumba ya kenyatta iko maeneo ya nyali aisee kiwanja ni kikubwa vibaya mno kimezungushiwa wall

Wewe hujawahi fuga border. Acha kudanganya watu wazima mdogo
 
kumbe ni Twitter... ... Tihahahhaaaaa. Leo nimecheka yangu yote. Si utapasuka msamba jirani. I told you hakuna thibitisho hapo.
twitter hakuna ujinga kama unavofkiri kwenye akili yako huko wako watu wenye akili zao na uzuri wa twitter ukitoa habari ya uongo wanaiblock😂😂😂😂😂
 
Just realised tanzanians dont know how to debate...you give them facts wanasidestep...ukionyesha mtanzania paka atapiga kabisa then aseme ni mbwa...ni akili hawana na reasoning poor sana
ukija na facts njoo na source tatizo lako wewe unamuona mzungu mjinga sana google earth aeke slums za nairobi alaf asieke slum in dar😂😂😂😂

google earth haidanganyi my friend na wewe neno slum linakupa shida sana kujua maana yake
 
[emoji23] [emoji23] yani ni kenya pekee umefika...woi..ndo maana uko na kiburi. ..kuwa mpole kaka...tembea nchi zingine...enda southafrica ujione mambo...nenda abuja...then compare what you have back home. You will never be more dissapointed...
hio nimekuonesha pages za kenya tu hapo sijakuonesha zingine 😂😂😂👆👆👆
 
Back
Top Bottom