Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Atatumia google., ask him a specific joint in juja or apartment name or a shop., all Matatu numbers zenye zinapita that route na za Upper.., vile amesema., a Tanzanian who has stayed in Nairobi proper cant argue like him., those poor ones who are condemned to one part of Nairobi coz of financial difficulty ndio wana reason kama yeye, they think Nairobi is where they afford to live or their experience, waoga hata kutembea around they can't afford, pesa hawana wanajazana Kibera, ama Kayole., especially wengi ni hawkers, wanauza vitenge na chupi mitaani, kwao uwezi tembeza vitu eti unauza kama vile wanafanya huku n no one bothers them, na wewe ni raiya wa kigeni, especially mkenya, raiya wa Tz watakuitiya polisi, wana chuki!
Kuwa mpole ,,,polisi hupelekwa wenye makosa /hatia hivyo ukiona mkenya tumemsweka rumande ujue ni mhalifu....
 
twitter hakuna ujinga kama unavofkiri kwenye akili yako huko wako watu wenye akili zao na uzuri wa twitter ukitoa habari ya uongo wanaiblock😂😂😂😂😂

Tihahahhaaaaa. ... Sasa ona wewe na ushamba wako wote. Leo nimekudharau sana
 
You forgetting Westlands.
Wetlands is the second CBD, though am seeing upper hill taking that spot by 2022, it will be ahead of westy ina grow at a faster rate and it will swallow Kilimani coz it's heading those ends, westlands will rule the skies of Nairobi for like two years having this global trade centre leading the park[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
vnzlMJXh.jpg
42526892374_002418d836_o.jpg
 
Morning guys,kwa taarifa za kuaminika TZ tuna 300MW ambazo hatuzitumii zipo tu zinaelea elea ,wale watoka mapovu izo pekee hazitoshi kuendesha reli??
 
Morning guys,kwa taarifa za kuaminika TZ tuna 300MW ambazo hatuzitumii zipo tu zinaelea elea ,wale watoka mapovu izo pekee hazitoshi kuendesha reli??[/QUOTE
Kwani hii nje yenu ya 58million people mnatumia just 1400mw....
Endelea kufuata uonge ya CCM.
 
Wetlands is the second CBD, though am seeing upper hill taking that spot by 2022, it will be ahead of westy ina grow at a faster rate and it will swallow Kilimani coz it's heading those ends, westlands will rule the skies of Nairobi for like two years having this global trade centre leading the park[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] View attachment 830066View attachment 830067
Hizi nyumba ndio za kuamkia na kulalia sikuhz
 
Morning guys,kwa taarifa za kuaminika TZ tuna 300MW ambazo hatuzitumii zipo tu zinaelea elea ,wale watoka mapovu izo pekee hazitoshi kuendesha reli??

Kweli akili zenu zimejaa guano. Hivi mna 300MW na day in day out generators zinanguruma tu Dangangiza
 
Kweli akili zenu zimejaa guano. Hivi mna 300MW na day in day out generators zinanguruma tu Dangangiza
Wewe akili yako ipo kwenye Chang'aa muda mwingi, tatizo la kukatika kwa umeme ni tatizo la electric connectivity sio production, demand kwa sasa ni 1300MW, wakati production ni 1560MW
 
Back
Top Bottom