Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

sasa wahamie kwenye GDP yenye unemployment rate 40%[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

kuna faida gani ya kua na GDP hata ingekua 1trillion usd kama 40% hawana ajira, inamaana hio GDP iko wapi???
Endelea kuota na hyo 40 % yako
Screenshot_2018-08-08-09-46-15~2.jpg
 
Just realised tanzanians dont know how to debate...you give them facts wanasidestep...ukionyesha mtanzania paka atapiga kabisa then aseme ni mbwa...ni akili hawana na reasoning poor sana
Kama unadebate na watu wasiojua debate kinachokufanya ubaki kwa hii thread ni nini..?...haujioni kama wewe ni mpuuzi

Si bora tu ule kona
 
twitter hakuna ujinga kama unavofkiri kwenye akili yako huko wako watu wenye akili zao na uzuri wa twitter ukitoa habari ya uongo wanaiblock[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata twitter haijui huyo
 
Kama unadebate na watu wasiojua debate kinachokufanya ubaki kwa hii thread ni nini..?...haujioni kama wewe ni mpuuzi

Si bora tu ule kona
Wapi immigration stamp ya passport yako..wait..ata nadhani hauna...ushawai toka tz ...do you have the exposure..na wewe unafanya nini kwa thread ya kenya...si kuna uzi ya wabongo kama nyinyi..haujafika level buda..come slow[emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] yani ni kenya pekee umefika...woi..ndo maana uko na kiburi. ..kuwa mpole kaka...tembea nchi zingine...enda southafrica ujione mambo...nenda abuja...then compare what you have back home. You will never be more dissapointed...
Haujielewi....[emoji3] [emoji3] [emoji3] unabaki kurusha mipira tu
 
sasa wahamie kwenye GDP yenye unemployment rate 40%[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

kuna faida gani ya kua na GDP hata ingekua 1trillion usd kama 40% hawana ajira, inamaana hio GDP iko wapi???
Hapo ndipo jibu tunalipata kuwa GDP ya kenya ni ya wageni na niyakupika data.....

Foreigners wamechukua kila kitu cha mkenya huku wakenya wakibaki maskini
 
yani leo unashangaa arable land inamilikiwa na settlers wazungu, mzungu anapanda maua anapeleka kwao kuuza anawaacha wakenya kwenye baa la njaa lisiloisha,
Ni shida sana sasa hawa wakenya wale mauwa
 
If we have to believe that twitter is a credible source then here we go.
Screenshot_20180808-094453.png
Screenshot_20180808-094459.png
Screenshot_20180808-094528.png
 
Wapi immigration stamp ya passport yako..wait..ata nadhani hauna...ushawai toka tz ...do you have the exposure..na wewe unafanya nini kwa thread ya kenya...si kuna uzi ya wabongo kama nyinyi..haujafika level buda..come slow[emoji23]
Huyo ni mkaazi wa Tandale hata Dar yenyewe hajaizoea vizuri, bado anatishtuka shtuka akiona daladala.
 
Hata kumbe muindi hajakufikisha Nairobi ni kwa border tu, na upo hapa unapigia wanaume mdomo mtu anaweza fikiria umesafiri hadi Kampala upigwe na butuaa ya modern HIGHWAYS nearly similar to za hapa Kenya but hazipo Dar sluum.
nairobi nimefika sana na pia nimekaa kwa masiku mengi tu😂😂😂😂😂
 
Wapi immigration stamp ya passport yako..wait..ata nadhani hauna...ushawai toka tz ...do you have the exposure..na wewe unafanya nini kwa thread ya kenya...si kuna uzi ya wabongo kama nyinyi..haujafika level buda..come slow[emoji23]
na hii ndio faida ya kua na unemployment rate of about 40%

 
Back
Top Bottom