ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
bro ww nafkiri hujui maana ya slumππππππππWacha upuzi...kwani unaibika na dream country yenyu...we uko mashambani na simu ya itel unajua dar yote kweli???
bro ww nafkiri hujui maana ya slumππππππππWacha upuzi...kwani unaibika na dream country yenyu...we uko mashambani na simu ya itel unajua dar yote kweli???
africa center ni maoni ya watuπππGive us the official link si maoni ya watu.
2.5 million slum dwellers hao ni nguruwe sio watu au sioπππππππ
I always says ..What do you know thick headed man![]()
ππππππππThibitisha hiyo. Kazi yako ni kuokota picha na Takataka zote kwa Google
bro ww nafkiri hujui maana ya slum
πππbro hivi kweli unataka official link kutoka wapi sasa??serikalini au wapi??kwa aibu hiyo serikali iandike data sahihi!!Give us the official link si maoni ya watu.
yani hata ufanye nn haitabadilisha kibera kua the biggest and worse slum in the world![]()
labda serikali ya kenya iamue kuwatoa kafara wananchi wakibera kwa kuwatupia bomu ..mm nilikwambia dar hutapata nyumba ya mabati full suite never my friendππAma pia hapa utasema si dar..all those dream upper middle class houses..very impressive for an ldc...mko in the same league na afganistan na liberia
Huyo anaitwa mzee wa i always says.."...ni zero flani ivikumbe kiingereza nawe kinakusumbua!!
ππππππππ
africa center ni opinionπππππHiyo ni opinion yako. Siku utadhibitisha I will key off Jf
africa center ni opinionπππππ
tupe location ya hayo maeneo google map,tukajionee panaonekanaje kutoka angani.Ama pia hapa utasema si dar..all those dream upper middle class houses..very impressive for an ldc...mko in the same league na afganistan na liberia
twitter my friend hioππππππNot necessarily true. No conviction at all. Unaona ni takataka tu za google
akikupa tu nitag broππππtupe location ya hayo maeneo google map,tukajionee panaonekanaje kutoka angani.
Na hata hao 2M umewapendelea kuwaweka kwenye makazi bora...maana kwa mujibu wa akili zao fupi huamini mtu anayekaa kwenye zile kota zao ndiye mwananchi anayeishi kwenye makazi bora kwa mahesabu ya haraka zile vibanda za nyayo estate sijui thika haziwezi kuhumudu watu hata laki 7...ni chache sana4.5-2.5=2ml
2mil people ni population ya mkoa mzima kama iringa au ruvuma,hao ndio wakazi wa nairobi wenye maisha na makazi bora.hataki anataka kusema 4.25 mill people wana maisha mazuri nairobiππ
hawezi najua,akiingia google map,anakutana na kitu tofauti kabisa.akikupa tu nitag broππππ