Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Achana na washamba hao. Mimi nipo Dodoma kesho nitaanza kutupia picha uone. Tembea uone kijana acha kupiga porojo kwenye mitandao.
Ni washamba kwa sababu wanaongea ukweli. Ushamba ni pale unapokataa kukubaliana na ukweli unaodhihirika wazi
 
Bado!!!! wanajenga flyover ya Kwanza Dar-is-slum.

A single flyover inayotumika hawana in 2018. Rural town in Kenya like Meru and kisii have flyovers while Dar is still building theirs.

Thats why this is the most useless thread in this forum

Compare Nairobi to Lagos or even Addis but not this excuse of a city Dar-is-slum
upload a picture showing the so called flyover..
 
These people are just mad to think of comparing themselves to Nairobi......smh.
daresalaam is still so fourth world truth be told
 
Mbona unakuanga umeitharau kampala ivo? Kwa maoni yangu ni ya tatu ukanda huu nyuma ya
1.nairobi
2.dar
3.kampala
4.addis ababa
5.kigali
6mombasa
....................................
Uchafu hapa ndio umeanza sasa
Mwanza
Kisumu
Arusha
Nakuru
Eldoret
Moshi
Bujumbura 😀😀😀😀😀
Juba
Others
umesema kwa maoni yako!!
 
Buruburu aerial view

C9rcHeKWAAE80_k.jpeg
 
Hotels, beaches, public transport, entertainment, food etc.
Nyie mmeshinda Dar kitu gani!?
Umenikumbusha ile hong kong hotel yako uliyoleta humu tukicompare hotels za Dar na Nairobi. hehehe...kama ni hizo, hata mimi nakubali mmetushinda
 
Binafsi sijafika Tanga ila mbeya na Dom ni kaka na Dada hazifai kuitwa jiji kama mnavyotaka, wanasema kuitwa jiji wanaangalia miundombinu, uchumi wa eneo husika, upatikanaji wa pesa lakini hivyo vyote kwa dodoma bado Sana haifai kuitwa jiji siyo kwa miundombinu, uchumi au upatikanaji wa pesa.... Mbeya nayo bado japokuwa wamepiga hatua kwenye uchumi, upatikanaji wa pesa na miundombinu ya barabara lakini kwa majengo bado sana mfano Kuna nyumba za tope mpaka mjini kwa mfano Sae, Ilomba, Ccm, Mama John Sai, Stereo, simike, soweto airport ya zaman, n.k 80% kwenye maeneo haya ni nyumba za tope.
acha kuleta uongo kijana,malighafi zinazotumika kujengea nyumba katika mikoa ya nyanda za juu kusini na pwani yanatofautiana kwa sababu ya kijiografia,ardhi ya dar ni mchanga,kuna miji huku south afrika wanatumia hizo tofari nyekundu kama wanazotumia mbeya,iringa na njombe,si kwa sababu hawawezi kununua cement la hasha!!ni kutokana na nature ya ardhi yao.
 
Back
Top Bottom