Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

gap gani inapanuka ya huko chini??yaani GDP ya $79bln unapiga vigeregere😀😀😀😀.ukifika 200 si utakunya kabisa kwa furaha😛

i wonder hata huwa mnabishana nini na wanigeria huko wenye $400bln,yaani wakenya mna matatizo sana.
A simple mathematics might do u justice, Nigerians are about averagely 240m in population whilst we are at averagely 45m thats 5 times our population if we were at 240m we too averagely might be at a gdp of usd.421b
 
Soma maelezo ya mkenya mwenzako David Ndii mtaalamu wa Uchumi. Wewe kajamba nani unajua hata maana ya GDP?





David Ndii is a political activist, his opinions are informed by political inclinations and not professionalism, his views are always unmasked and challenged in talk shows! kama nyingine ya sgr., am wondering how his ph.D thesis looks like?., am curious to know his topic of study, he has alot of pedestrian arguments.
 
David Ndii is a political activist, his opinions are informed by political inclinations and not professionalism, his views are always unmasked and challenged in talk shows! kama nyingine ya sgr., am wondering how his ph.D thesis looks like?., am curious to know his topic of study, he has alot of pedestrian arguments.
Do you know the different btn PPP and GDP?
 
Dar, Kinondoni Estate 😀
View attachment 814300
Acha kudanganya watu:

upload_2018-7-20_22-49-6.png


Picha ipo hapa
https://www.quora.com/If-you-were-to-describe-Lagos-in-one-word-what-would-it-be

Tanzania ipo juu yenu kijana. Zaidi sana mtaleta picha za uongo. Hamuwezi kushindana na Tanzania kwa facts.
 
Mombasa ni ujinga mtupu bora Kama ungesema Nbo &Dar maana Kampala nayo naona utani tu
Mbona unakuanga umeitharau kampala ivo? Kwa maoni yangu ni ya tatu ukanda huu nyuma ya
1.nairobi
2.dar
3.kampala
4.addis ababa
5.kigali
6mombasa
....................................
Uchafu hapa ndio umeanza sasa
Mwanza
Kisumu
Arusha
Nakuru
Eldoret
Moshi
Bujumbura 😀😀😀😀😀
Juba
Others
 
Mbona unakuanga umeitharau kampala ivo? Kwa maoni yangu ni ya tatu ukanda huu nyuma ya
1.nairobi
2.dar
3.kampala
4.addis ababa
5.kigali
6mombasa
....................................
Uchafu hapa ndio umeanza sasa
Mwanza
Kisumu
Arusha
Nakuru
Eldoret
Moshi
Bujumbura 😀😀😀😀😀
Juba
Others
nairobi haitakaa juu ya dar mpaka yesu anashuka hehhehe yani nairobi kwa dar ni kama mjukuu😀😀😀
 
Binafsi sijafika Tanga ila mbeya na Dom ni kaka na Dada hazifai kuitwa jiji kama mnavyotaka, wanasema kuitwa jiji wanaangalia miundombinu, uchumi wa eneo husika, upatikanaji wa pesa lakini hivyo vyote kwa dodoma bado Sana haifai kuitwa jiji siyo kwa miundombinu, uchumi au upatikanaji wa pesa.... Mbeya nayo bado japokuwa wamepiga hatua kwenye uchumi, upatikanaji wa pesa na miundombinu ya barabara lakini kwa majengo bado sana mfano Kuna nyumba za tope mpaka mjini kwa mfano Sae, Ilomba, Ccm, Mama John Sai, Stereo, simike, soweto airport ya zaman, n.k 80% kwenye maeneo haya ni nyumba za tope.
 
Binafsi sijafika Tanga ila mbeya na Dom ni kaka na Dada hazifai kuitwa jiji kama mnavyotaka, wanasema kuitwa jiji wanaangalia miundombinu, uchumi wa eneo husika, upatikanaji wa pesa lakini hivyo vyote kwa dodoma bado Sana haifai kuitwa jiji siyo kwa miundombinu, uchumi au upatikanaji wa pesa.... Mbeya nayo bado japokuwa wamepiga hatua kwenye uchumi, upatikanaji wa pesa na miundombinu ya barabara lakini kwa majengo bado sana mfano Kuna nyumba za tope mpaka mjini kwa mfano Sae, Ilomba, Ccm, Mama John Sai, Stereo, simike, soweto airport ya zaman, n.k 80% kwenye maeneo haya ni nyumba za tope.
Duh!
 
Back
Top Bottom