you heard about dar!we saw it nairobi!!...I told you if you want,take a flight to dar,I'll pay those costs,Dar hamuwezani na NBO
Bado kijiji chenu kiko chini kama NONSENSE.
I hear more than 75% of Dar is slums and shanties
ongea upuuzi tu as usual😀😀😀Nimeshtuka baada ya kuiona Dodoma, kwanini imeitwa jiji?
Hehe...watanzamia wenzenu hao. Hao hawajapumbazwa na uzalendo kama nyinyi humu ndani
dreamin'Possibly, and if Somalia wangekua na peace, the way wako aggressive, they would be toping East Africa, with oil and long coast line!., wangekua mbali...
Donholm before the new outering road
View attachment 814876
kwa hiyo we unaona fahali kuuziwa ujinga kwa gharama kubwa...ATI ksh 12bob unapata 500mbs...umaskini tupu
sasa unataka tuwe kama yeye?..kwani sisi hatuoni?kwani sisi hatuna akili zetu!kwani sisi hatuwezi kuamua!!mzee kikwete alikuwa na msemo wake mmoja hivi "za kuambiwa?changanya na zako!"Nimeshtuka baada ya kuiona Dodoma, kwanini imeitwa jiji?
Hehe...watanzamia wenzenu hao. Hao hawajapumbazwa na uzalendo kama nyinyi humu ndani