AbassChizzy
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 546
- 201
Cheki huyu..kwani uliskia nairobi iko kwa bahari!!..unataka "super bridge" itoke wapi..sio ferry tu hata super bridges hamtuwezi pia😀😀
Cheki huyu..kwani uliskia nairobi iko kwa bahari!!..unataka "super bridge" itoke wapi..sio ferry tu hata super bridges hamtuwezi pia😀😀
acha hasira plz 😀😀😀😀Asante sana mtukufu rais Magufuli. Wanasifia rais kila saa. Hata akitia mkeo mimba,, asante sana mtukufu rais. Ushenzi wa 19th century
tanzania iliingiza 2.3b usd 2017Annael ebu tulinganishe kwa tourism...nani kati ya kenya na tanzanian wanapokea watalii kwa wingi?leta facts tucompare..kenya imefanya marketing ya kutosha kuliko tz
tanzania imeanza kujenga oil pipeline 70s my friend kuna oil pipeline kutoka dar mpaka zambia ukija kwenye gas pipeline ndio utakimbia kabisa hehehehNdio mnatamba katika sector hizo. Lakini kumbuka hizo sector hazina pesa. Sisi tunatamba katika sector bab kubwa ambako kuna pesa nzito nzito. Angalia katika air transport. Angalia road transport from Mombasa to Kampala. Angalia Flower, Vegetable, Tea and textile export. Angalia remittance by Kenyans living abroad. Angalia pipeline ya ksh 48 billion ($480 million) kutoka Mombasa to Nairobi, tulizindua jana na inauwezo wa kupump lita milioni moja kila lisaa. Banking sector ya Kenya ndio kubwa zaidi East Africa. Sasa sisi pia tuna baadhi ya sectors ambazo tunadominate. Nyinyi pia mna sector zenu mnazocontrol lakini ni sectors hafifu. Sasa movie industry yenu inaleta ushuru kwa serikali ya kiasi gani, au imeajiri waigizaji wangapi? Nadhani ni sector ndogo sana hustahili kuitaja.
sawa umewahi sikia wapi machokoraa mnakuwa ligi kubwa........Hamna full stop. staki Panganga zako...siasa peleka Kijikoyanyama dar...so if you don't have anything apart from one flyover in the whole of Tz shut the hell up...mko ligi ndogo bana
Leta facts ichoboy...si kutaja tu kwa hewatanzania iliingiza 2.3b usd 2017
kenya iliingiza 700m usd
bado unataka tushindane???😀😀😀😀
What is this??? So scary
Kwani haujui kupost??ama ushamba ndo mingi?..ebu angalia comment yakoWhat is this??? So scary
hio 2016 tanzania iliingiza 2.1b usdLeta facts ichoboy...si kutaja tu kwa hewa
Mwambie kuwa kwenye movie industry TZ ni ya pili Afrika baada ya Nigeria.tanzania imeanza kujenga oil pipeline 70s my friend kuna oil pipeline kutoka dar mpaka zambia ukija kwenye gas pipeline ndio utakimbia kabisa heheheh
bongo movie imeajiri wasanii wengi sana kama ilivo music industry my friend
Jamaa hana information. Hajui Tanzania kwa sasa ni king east Africa kwa utalii.hio 2016 tanzania iliingiza 2.1b usd
na 2017 imeingiza 2.3b usd
Tanzania's tourism is now fastest growing sector: report - Xinhua | English.news.cn
hehehhe bado anajipa matumaini naona😀😀Jamaa hana information. Hajui Tanzania kwa sasa ni king east Africa kwa utalii.
DuhAsante sana mtukufu rais Magufuli. Wanasifia rais kila saa. Hata akitia mkeo mimba,, asante sana mtukufu rais. Ushenzi wa 19th century
Kenya tuko torn between different sports. Soccer, Rugby, wakalenjin na Athletics, kuna Cricket fans, Volleyball etc. And all these teams do well. Actually in my experience local rugby events and rugby union league games ziko better attended than football. So apart from Gor (Luo) na AFC Leopards(Luhyhas) ni ngumu upate timu ziko na mashabiki. Lakini kwa hii soka mnayojivunia we do better, higher FIFA rankings, higher ELO rankings na we have players playing in EPL, La Liga kuna mwingine alishinda Champions League na Inter Milan in 2010 etc. So apart from barbaric fans wenu, what do you have?sio tu viwanja hata kwenye mishahara, ushabiki, msisimuko wa team, sheria pia nzuri, upendo
Mwambie kuwa kwenye movie industry TZ ni ya pili Afrika baada ya Nigeria.





muna maendeleo gani ???ikiwa hio gor mahia imeanzishwa 1968 haina hata banda la choo mjiniKenya tuko torn between different sports. Soccer, Rugby, wakalenjin na Athletics, kuna Cricket fans, Volleyball etc. And all these teams do well. Actually in my experience local rugby events and rugby union league games ziko better attended than football. So apart from Gor (Luo) na AFC Leopards(Luhyhas) ni ngumu upate timu ziko na mashabiki. Lakini kwa hii soka mnayojivunia we do better, higher FIFA rankings, higher ELO rankings na we have players playing in EPL, La Liga kuna mwingine alishinda Champions League na Inter Milan in 2010 etc. So apart from barbaric fans wenu, what do you have?
hii iko tanga my friend 😀😀😀😀Bado movie sector hawatufikii...we have the Largest theaters in East and Central Africa bana...View attachment 808138View attachment 808139