TEMLO DA VINCA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 3,087
- 3,392
PoleWajamaa mmepeleka Gdp yote ya Tanzania kwa meli na huku hamna hata umeme wa kutosha?
PoleWajamaa mmepeleka Gdp yote ya Tanzania kwa meli na huku hamna hata umeme wa kutosha?
PoleWajamaa mmepeleka Gdp yote ya Tanzania kwa meli na huku hamna hata umeme wa kutosha?
Fly over Moja inafanya JF hakukaliki![]()
![]()
![]()
while in Kenya We have interchange roads allover Hadi Country sides...watanzania Kweli ni washamba...Sasa Hawa Watu wakiingia Nairobi watasema nini
![]()
![]()
![]()
Hapo ndio unaskianga mtu anajiongelesha kwa gari ju ya kushangaaView attachment 808104
Nipostie Kama hiyo Arusha Kama ni ya upuzi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
hiyo kitu uliyoipost ni upuuzi sijaona cha maana hapo
Wanahisi hii nchi watu ni vilazahuo ni ukweli kabisa
nawatafungwa kama kawaidaWana sikilizia ku sign team za Bongo.. kesho wata cheza kutafuta mshindi wa tatu
ni wapuuzi siku zoteWanahisi hii nchi watu ni vilaza
TANZANIA tumeingia kwenye uchumi wa kati kwa kushindo kama ripoti ya IMF inavyoonyesha
hatuna na hatuwezi jenga upuuzi kama huo sisi tunatengeneza viwango vitu vyenye ubora hatukurupuki kama nyie wakenya pori.......Nipostie Kama hiyo Arusha Kama ni ya upuzi
Wilfred Bonny ndani ya Dar
Tourism, Transportation, Mining, Agriculture, Fishing.Ndio mnatamba katika sector hizo. Lakini kumbuka hizo sector hazina pesa. Sisi tunatamba katika sector bab kubwa ambako kuna pesa nzito nzito. Angalia katika air transport. Angalia road transport from Mombasa to Kampala. Angalia Flower, Vegetable, Tea and textile export. Angalia remittance by Kenyans living abroad. Angalia pipeline ya ksh 48 billion ($480 million) kutoka Mombasa to Nairobi, tulizindua jana na inauwezo wa kupump lita milioni moja kila lisaa. Banking sector ya Kenya ndio kubwa zaidi East Africa. Sasa sisi pia tuna baadhi ya sectors ambazo tunadominate. Nyinyi pia mna sector zenu mnazocontrol lakini ni sectors hafifu. Sasa movie industry yenu inaleta ushuru kwa serikali ya kiasi gani, au imeajiri waigizaji wangapi? Nadhani ni sector ndogo sana hustahili kuitaja.
Bado movie sector hawatufikii...we have the Largest theaters in East and Central Africa bana...Ndio mnatamba katika sector hizo. Lakini kumbuka hizo sector hazina pesa. Sisi tunatamba katika sector bab kubwa ambako kuna pesa nzito nzito. Angalia katika air transport. Angalia road transport from Mombasa to Kampala. Angalia Flower, Vegetable, Tea and textile export. Angalia remittance by Kenyans living abroad. Angalia pipeline ya ksh 48 billion ($480 million) kutoka Mombasa to Nairobi, tulizindua jana na inauwezo wa kupump lita milioni moja kila lisaa. Banking sector ya Kenya ndio kubwa zaidi East Africa. Sasa sisi pia tuna baadhi ya sectors ambazo tunadominate. Nyinyi pia mna sector zenu mnazocontrol lakini ni sectors hafifu. Sasa movie industry yenu inaleta ushuru kwa serikali ya kiasi gani, au imeajiri waigizaji wangapi? Nadhani ni sector ndogo sana hustahili kuitaja.
ndani ya lile bus ni mufindi haswa aisee,yaani ni kama upo ndani ya dreamliner mpya iliyowasili majuzi..hatari sana.Bado wapo mjini wana ng'ang'a macho, wamepewa bus na Azam full mufindi siyo kama ki bus chao cha Tuzo kime jaa kunguni..
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Hamna full stop. staki Panganga zako...siasa peleka Kijikoyanyama dar...so if you don't have anything apart from one flyover in the whole of Tz shut the hell up...mko ligi ndogo banahatuna na hatuwezi jenga upuuzi kama huo sisi tunatengeneza viwango vitu vyenye ubora hatukurupuki kama nyie wakenya pori.......
hatuwezi kujaza vifusi ilimradi kakipande karoad kapite juu....hatuwezi fanya upumbavu huo
Annael ebu tulinganishe kwa tourism...nani kati ya kenya na tanzanian wanapokea watalii kwa wingi?leta facts tucompare..kenya imefanya marketing ya kutosha kuliko tzTourism, Transportation, Mining, Agriculture, Fishing.
Nyie mmebaki na kukimbia kimbia tu kama digidigi.
sio ferry tu hata super bridges hamtuwezi pia😀😀Nadhani kwa ferry mko sawa. Sijui ni kwa sababu mna mito na ziwa mengi ndio maana mna ferry nyingi. Sisi hatuna mahitaji ya meli isipokuwa katika kivuko cha Likoni Mombasa. Port ya Kisumu ilikufa kwa hivyo hamna ferry pale isipokuwa moja ya utalii. Anyway pongezi kwa kumwaga pesa kwenye ferry.