Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tazara flyover
Dh5Pd52WkAAozMI.jpg:large
 
Nadhani kwa ferry mko sawa. Sijui ni kwa sababu mna mito na ziwa mengi ndio maana mna ferry nyingi. Sisi hatuna mahitaji ya meli isipokuwa katika kivuko cha Likoni Mombasa. Port ya Kisumu ilikufa kwa hivyo hamna ferry pale isipokuwa moja ya utalii. Anyway pongezi kwa kumwaga pesa kwenye ferry.
 
Nadhani kwa ferry mko sawa. Sijui ni kwa sababu mna mito na ziwa mengi ndio maana mna ferry nyingi. Sisi hatuna mahitaji ya meli isipokuwa katika kivuko cha Likoni Mombasa. Port ya Kisumu ilikufa kwa hivyo hamna ferry pale isipokuwa moja ya utalii. Anyway pongezi kwa kumwaga pesa kwenye ferry.
What about bridges?, What about buildings, What about Music industry, What about Movie industry, What about TV stations? etc
 
Asante sana mtukufu rais Magufuli. Wanasifia rais kila saa. Hata akitia mkeo mimba,, asante sana mtukufu rais. Ushenzi wa 19th century
 
What about bridges?, What about buildings, What about Music industry, What about Movie industry, What about TV stations? etc
Ndio mnatamba katika sector hizo. Lakini kumbuka hizo sector hazina pesa. Sisi tunatamba katika sector bab kubwa ambako kuna pesa nzito nzito. Angalia katika air transport. Angalia road transport from Mombasa to Kampala. Angalia Flower, Vegetable, Tea and textile export. Angalia remittance by Kenyans living abroad. Angalia pipeline ya ksh 48 billion ($480 million) kutoka Mombasa to Nairobi, tulizindua jana na inauwezo wa kupump lita milioni moja kila lisaa. Banking sector ya Kenya ndio kubwa zaidi East Africa. Sasa sisi pia tuna baadhi ya sectors ambazo tunadominate. Nyinyi pia mna sector zenu mnazocontrol lakini ni sectors hafifu. Sasa movie industry yenu inaleta ushuru kwa serikali ya kiasi gani, au imeajiri waigizaji wangapi? Nadhani ni sector ndogo sana hustahili kuitaja.
 
Stations za sgr ya Kenya hazipatikani mahali popote Afrika nzima. Hata South Africa hawatuwezi kwa hili. Ongeeni mbaya kuhusu train lakini sio stations.
Hahaha umeanza station kesho utakuja na wafanyakazi ndani ya treni
 
Ndio mnatamba katika sector hizo. Lakini kumbuka hizo sector hazina pesa. Sisi tunatamba katika sector bab kubwa ambako kuna pesa nzito nzito. Angalia katika air transport. Angalia road transport from Mombasa to Kampala. Angalia Flower, Vegetable, Tea and textile export. Angalia remittance by Kenyans living abroad. Angalia pipeline ya ksh 48 billion ($480 million) kutoka Mombasa to Nairobi, tulizindua jana na inauwezo wa kupump lita milioni moja kila lisaa. Banking sector ya Kenya ndio kubwa zaidi East Africa. Sasa sisi pia tuna baadhi ya sectors ambazo tunadominate. Nyinyi pia mna sector zenu mnazocontrol lakini ni sectors hafifu. Sasa movie industry yenu inaleta ushuru kwa serikali ya kiasi gani, au imeajiri waigizaji wangapi? Nadhani ni sector ndogo sana hustahili kuitaja.
Njoo njombe uone chai inavyolima unajua uniliver wamefungua kiwanda cha chai njombe

Maua nenda arusha kuna makampuni yanalima maua yanauza masoko yote duniani

Bank nenda burundi comoro crdb exim iko Djibouti na inamatawi mengi africa huku ikiweka makao yake tanzania kwa bara la africa

Mboga mboga na matunda nenda tanga arusha mbeya itinga kuna mashamba watu wanalima kisasa wanauza nje


TANZANIA tumeingia kwenye uchumi wa kati kwa kushindo kama ripoti ya IMF inavyoonyesha
 
Njoo njombe uone chai inavyolima unajua uniliver wamefungua kiwanda cha chai njombe

Maua nenda arusha kuna makampuni yanalima maua yanauza masoko yote duniani

Bank nenda burundi comoro crdb exim iko Djibouti na inamatawi mengi africa huku ikiweka makao yake tanzania kwa bara la africa

Mboga mboga na matunda nenda tanga arusha mbeya itinga kuna mashamba watu wanalima kisasa wanauza nje


TANZANIA tumeingia kwenye uchumi wa kati kwa kushindo kama ripoti ya IMF inavyoonyesha
huo ni ukweli kabisa
 
Back
Top Bottom