FactsUkweli ni kwamba Dar bado itasubiri sana kwa Nairobi. Huo ndiyo ukweli. Mengine hapa ni ushabiki tu usio na maana. Dar tukaze buti sana kuifikia Nairobi
Facts
2NilWacha utoto kwani gor Kushindw na axam ni big deal aje kwwnyu hadi mnakesha huku?
so ikiwa train za miaka 50 iliopita reli pia so unafkiri station inafaida gani kwako😀😀😀 yani 4b usd mchina anawaletea train za miaka 70 iliopita tena kwa mkopoStations za sgr ya Kenya hazipatikani mahali popote Afrika nzima. Hata South Africa hawatuwezi kwa hili. Ongeeni mbaya kuhusu train lakini sio stations.
acha hasira plz😀😀😀😀Wacha utoto kwani gor Kushindw na axam ni big deal aje kwwnyu hadi mnakesha huku?
kweli kabisa.....Hii siku imekuwa mbaya sana kwa Wakei
kaa ukijua kipimo cha club bora za africa hutumia vigezo viwili tuJuu ya cecafa cup?
mashindano ya peni nane...ilhali football ranking mko no.140!!!!
zero talent republic

UiivuSubstandard &ugly
Hanna anything close to this Mwanza#city number 2It's actually the 3rd largest urban center in Kenya due to its densityIs Nakuru fourth ama fifth. I always rank Eldoret higher
sio tu viwanja hata kwenye mishahara, ushabiki, msisimuko wa team, sheria pia nzuri, upendoKatika ukanda wa afrika mashariki hakuna ligi bora na yenye ushindani na udhamin wa kutosha kama ligi kuu ya Tanzania na ndio maana wachezaji wengi kutoka nchi za jirani huvutiwa na ligi ya Tanzania hata kàtika maendeleo y viwanja ipo juu