AbassChizzy
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 546
- 201
Najua kwenyu hakuna vitu kama hizi..serikali yenyu imewafunga na kuwasimamia kama watoto..hamna uhuru kama sisi kuzushakumekucha tena 😀😀😀😀😀
Najua kwenyu hakuna vitu kama hizi..serikali yenyu imewafunga na kuwasimamia kama watoto..hamna uhuru kama sisi kuzushakumekucha tena 😀😀😀😀😀
arusha hamna minazi wewe kengeArusha baby
![]()
matatuhehehhe 😀😀😀😀
hehehe endeleeni kuchoma shule😀😀😀Najua kwenyu hakuna vitu kama hizi..serikali yenyu imewafunga na kuwasimamia kama watoto..hamna uhuru kama sisi kuzusha
Kisumu is still ahead of Nakuru.It's actually the 3rd largest urban center in Kenya due to its density
Hii picha mmerudia sana muanze post pesa mlizokamata
kweli kabisaKatika ukanda wa afrika mashariki hakuna ligi bora na yenye ushindani na udhamin wa kutosha kama ligi kuu ya Tanzania na ndio maana wachezaji wengi kutoka nchi za jirani huvutiwa na ligi ya Tanzania hata kàtika maendeleo y viwanja ipo juu
Mchina station zao ni kama airport hata apo kwenu amewafanyia poa butStations za sgr ya Kenya hazipatikani mahali popote Afrika nzima. Hata South Africa hawatuwezi kwa hili. Ongeeni mbaya kuhusu train lakini sio stations.


izo train mnatia aibu
inabidi waondoke warudi kwaoBado wapo mjini wana ng'ang'a macho, wamepewa bus na Azam full mufindi siyo kama ki bus chao cha Tuzo kime jaa kunguni..
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
sasa uone kipi chenye faida kati ya train au station heheh yani unajengewa station nzuri alaf unaletewa gari moshi za miaka 70 iliopita ni sawa na mtu kuvaa vest pekeake bila chupi na suruali alaf atembee barabarani 😀😀😀😀Mchina station zao ni kama airport hata apo kwenu amewafanyia poa butizo train mnatia aibu
Wajamaa mmepeleka Gdp yote ya Tanzania kwa meli na huku hamna hata umeme wa kutosha?modern marine transport in sub Saharan countries😀😀😀😀😀
azam kilimanjaro 1
![]()
azam kilimanjaro 2
![]()
azam kilimanjaro 3
![]()
![]()
azam kilimanjaro 4
![]()
azam kilimanjaro 5
![]()
azam kilimanjaro 6
![]()
Azam sea link 2 ni kali. Nimeinua mkono.modern cargo transport in east and central africa😀😀😀😀
azam sea link 1
![]()
![]()
azam sea link 2
![]()
![]()
acha hasira aliekwambia hakuna umeme wa kutosha nani au we unafkiri tunafanya mambo bila akili?😀😀 na siku modern electric train in africa ikianza mwakani ndio mutajua umeme upo au haupoWajamaa mmepeleka Gdp yote ya Tanzania kwa meli na huku hamna hata umeme wa kutosha?
asante hii ndio tanzania ya 2018Azam sea link 2 ni kali. Nimeinua mkono.
Ubaya Azam sea link 2 sio mali ya umma bali ya kibinafsi. Pongezi inaenda kwa Azam sio kwa serikaliasante hii ndio tanzania ya 2018
sawa wacha nikuoneshe sasa mali za umma sawa ili ujue pia😀😀😀😀Ubaya Azam sea link 2 sio mali ya umma bali ya kibinafsi. Pongezi inaenda kwa Azam sio kwa serikali