Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

pamoja na VAT lakin wanazidi kuongezeka majirani walitoa VAT lakin bado tu 😀😀😀😀


Nilienda Tarangire sikuamini nilichokuwa nakiona,watalii wanamiminika kama nyuki,na nadhani kuna kipindi wale jamaa huwa wanaelemewa..
 
Nilienda Tarangire sikuamini nilichokuwa nakiona,watalii wanamiminika kama nyuki,nadhani kuna kipindi wale jamaa wanelemewa..
hata serengeti na ngorongoro hua kunazidiwa na sasa hvi obama na familia yake wako serengeti singita watkuwepo kwa wiki moja
 
Golmahia kwaheri ........

tukiwaambua kuwa sportpesa huwa tunaipuuza haina pesa
 

Screenshot_2018-07-11-17-21-43-892_com.instagram.android.jpg
 
umeuliza swali lenye logic sana... subiri povu toka kwa wakenya.
Stations za sgr ya Kenya hazipatikani mahali popote Afrika nzima. Hata South Africa hawatuwezi kwa hili. Ongeeni mbaya kuhusu train lakini sio stations.
 
Back
Top Bottom