Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Baba hata kwenu kubaya tu mimi nahisi ungesema chochote juu ya currently DAR ila naona umeponda mpaka basi, Nairobi imetutukana sana na DAR yetu leo inaenda zaidi ya Nairobi bado hujaona baba!!! Hivi kweli public transport yetu na Nairobi unalinganisha au hukuwahi kwenda Nairobi! Mmmmmmhh haya bhana ila kumbuka kwenu kwenu tu.
waTZ watu wa kukubali hali yao. Watu wa ajabu
 
Server za JF mnazijaza aisee.....same pictures over and over
Anyways, my contribution here is this
1) Dar es Salaam and Nairobi are both large cities by African standards, with Dar leading in terms of geographical size and population but Nairobi still ahead economically - that is in Gross Metropolitan Product (GMP) terms
2) Dar es Salaam will have crossed the 10 million residents mark by 2030, joining Kinshasa, Cairo, Lagos, Luanda and Johannesburg to be the only African megacities by then
3) Dar es Salaam will lift the most people out of poverty of any other African city.
4) Proper urban planning will be critical for both Nairobi and Dar es Salaam particularly hapo kwenye urban infrastructure. I have to say Nairobi is kind of ahead of Dar es Salaam in this; the roads there are spacious and not to mention the flyovers and the expressways. Dar es Salaam needs to catchup fast kwenye barabara focus isiwe sana kwenye majengo tu.
5) We need to stop focusing much on our cities and more on our rural population, which comprises over 70% of our populations. I hate to say this but Magufuli's government is not pro-poor as he famously claims it to be!
Jan. 2017

Bado tanzaGIZAstans wengine hawataki kubali
 
Hizi thread zinanipaga raha sana kusoma.. Kama mbongo nadhani facts ziwe facts.. Nairobi imetuzidi sana kimiundombinu haswa barabara na reli.. Watanzania waliofika ama kuishi Nairobi watakubaliana nami kwa hili. Cha msingi ni kuwa kwa sasa Dar nayo inajitahidi kukechi up ingawa naona kwa kiasi kikubwa ni majengo tu yanapanda lakini barabara na miundombinu mingine kama ya barabara (including public transport.. And yes najua kuhusu BRT), intaneti ya mwendo kasi N.K.vinasua sua sana..
Aah!
 
Mkuu huo ndiyo ukweli Dar bado sana kwa Nairobi na wewe kama umewahi kuwa Nairobi unajua sema hapa mnafurahishana tu. Endeleeni lakini kuburudisha jamvi. Mi nasema kwa uzoefu wangu mkubwa wa miji hii miwili
Kinyungu na ukweli
 
Hizo bra bra hazina naface hapa. Kwani nani hajaishi Nairobi? Unadhani sisi hatuijui Nairobi?
Nimekwambia acha bra bra. Kama hujui kitu kaa kimya sisi tukuletee. Usijifanye mjuaji wakati hujui. Nimekwambi wewe leta references za Nairobi. Wewe unakuja na maneno ya siasa.
Je?
1. Nairobi kuna BRT?
2. Nairobi kuna Island?
3. Nairobi Kuna uwanja mkubwa wa Taifa?
4. Nairobi kuna fish market?
5. Nairobi kuna daraja kama la Nyerere?
6. Nairobi kuna beaches?
7. Vipi kuhusu hotel za Nairobi na za Dar?

Wewe unakuja na bra bra hapa. Tatizo huna exposure. Umetokea porini na kwenda Nairobi. Sasa umerudi dar na huja wahi hata kutembea zaidi ya kwenda kazini na kurudi nyumbani kwako.
"NAIROBI kuna ISLAND?"
"NAIROBI kuna BEACHES?"

 
Iyo college of health upande wa bachelor of lab blablah mbona sion vitu kibao? Lab mnatoa General, Muhimbili unaweza soma bachelor of lab in either of the following,entomology, parasatilogy,microbiology, blood transfusion (haematology)
Pia sioni bachelor of radiology apo!!

Nikicheki upande wa college of engineering sioni mining,petroleum engineering,Electromechanical ,electronics, telecommunication, computer science nk lol upande wa ardhi Ndio mko tenge kabisa
Parasitology, bacteriology,entomology and are all classified under microbiology(School of Biological and physical sciences ), Blood transfusion is under Biochemistry ( Health Sciences). Telecommunication iko kwa Humanities and social sciences,Computer science, mining(geology) and petroleum iko kwa Physical sciences. Survey, eletrical and eletromechanical iko kwa school of architecture and engineering. Which one don't you see again?
 
Mmmnh. Kushinda vita vya maneno si kisomo changu. Wacha basi nitulie tuama nitazame. Lakini ukweli haubadiliki. Infrastructure Nairobi over Dar any day. Nightlife nitawapa wanadar lakini tukija mambo serious, hapo tusidanganyane
Alomo wewe mtu wa busara
 
Haa wabongo walilaaniwa na ujinga ....hospitals !!! Of all the things you can brag about you chose hospitals !!!
eddy25r afadhali wewe unasema hospitals.. Juzi tuu they were bragging about BUSES!
 
Wewe kwa akili yako huoni kwamba hiyo ni dhihirisho kwamba Dar is poorly planned? Honesty how can you have a residential area right in the middle of town? Halafu unasema eti Dar kila mahali kuna residential apartments? ni mara ngapi tumewaitisha picha za residential apartments za Dar kisha mnatuletea picha za beach apartments kwa wadosi? kubali tu hazipo na kama zipo ni vichache mno for a city so big like Dar.
Namna gani hapa?
 
Back
Top Bottom