Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

A place to relax and smile .....bongo
978704_56_z-1.jpg
 
wakenya wamekimbia battle....picha zimeisha,hawana picha mpya,labda waendelee kuzi-repost zile zilizopo kama walivo fanya hapo awali.

picha zao zote walizoweka kwenye jukwaa hili wanazirudia rudia.

sisi kila siku tunaendelea kuwashangaza kwa kuwaletea picha mpya na maeneo mapya ya jiji zuri na tulivu la dar es salaam.

Annael na ichoboy leo jumamosi tulivu ni siku nzuri ya kuendelea kuwafanyia cyber assault wakenya kwa kuwawekea picha nzuri zaidi za dar,pia tusiache kuwawekea picha za miradi mbalimbali ya ujenzi inayoendelea jijini.

mimi nitajikita ktk kupost picha za maeneo ya kula bata,hilo ni eneo langu ambalo nalimudu vizuri.
 
wakenya wamekimbia battle....picha zimeisha,hawana picha mpya,labda waendelee kuzi-repost zile zilizopo kama walivo fanya hapo awali.

picha zao zote walizoweka kwenye jukwaa hili wanazirudia rudia.

sisi kila siku tunaendelea kuwashangaza kwa kuwaletea picha mpya na maeneo mapya ya jiji zuri na tulivu la dar es salaam.

Annael na ichoboy leo jumamosi tulivu ni siku nzuri ya kuendelea kuwafanyia cyber assault wakenya kwa kuwawekea picha nzuri zaidi za dar,pia tusiache kuwawekea picha za miradi mbalimbali ya ujenzi inayoendelea jijini.

mimi nitajikita ktk kupost picha za maeneo ya kula bata,hilo ni eneo langu ambalo nalimudu vizuri.
Mimi leo nazunguka mtaa kwa mtaa kupiga picha mpya. Nimepata bonge la camera naona kama vita imeanza upya. Hii camera nitaitumia ipasavyo. Halafu ninanyemelea drone.
Next week nitakuletea maeneo hujawahi yaona.

Mimi weekend hii nitakuwa mtazamaji tu.
 
hatimaye mmekuja uwanja wa vita...yaani mnakuja kwa kuvizia kama magaidi ya alshabab yanavyovizia kushambulia wakazi wa nairobi.
 
Am back Reloaded... You guys blocked me and left your guys who used vulgar language like kadoda and icho....anyway am back for business to give u facts
 
For those who think Kenya LAPPPSET..lamu port is dead...I am sorry for you
The construction is on speed with first berth scheduled to be completed next year
44aGvlr.jpg

jDJ0Lr2.jpg

onEicXP.jpg


qDMeF2x.jpg

buda,thanks for the information.
i would like to remind you that lamu isn't part of the battle,the battle is dar vs nairobi or vice versa.

let's avoid distorting the thread.
 
buda,thanks for the information.
i would like to remind you that lamu isn't part of the battle,the battle is dar vs nairobi or vice versa.

let's avoid distorting the thread.
You yourself are always out of topic..before removing a spec on someone's eye remove yours first
 
Am back Reloaded... You guys blocked me and left your guys who used vulgar language like kadoda and icho....anyway am back for business to give u facts
ukileta ile ujinga yako ya mitaa ya kibera,hatutasita kukushughulia haraka ipasavyo.be decent and behave well.

jf sio uwanja wa kushambuliana kwa matusi.matusi yenu yapelekeni twitter au JamiiForums.com.
 
Mbona hajaleta picha hizo anasubiri nn

kila akijaribu kutafuta picha mpya kwenye gallery yake,anagundua karibia picha zote zilikwisha postiwa hapo awali....wazee wa ku-repost.
 
Back
Top Bottom