Kariakoo ni business area ,nmekwambia kuna maduka yakila aina kule,hotels,apartments,na sehemu zA michezo.....
Majengo mengi chini Ni maduka na floor za juu ni makazi....tatizo ni nn huelewi kiswahili au uwezo wa kuelewa ni mdogo sana, Dar kila mahali kuna residential apartments
Akili zimeanza kurudi siyo? This is DSMHahahahahahahaha.....
No wonder,
nimependa sana jibu lako
Images from The Arch Ship in Dar es Salaam by indaressalaam, on Flickr
Tatizo huna exposure ndio maana mapovu yanakutoka mdomoni. Hivi unajua maana ya CBD na lengo lake ni nini?lol picture a CBD at the same time a residential area,,, yaani unaenda kirikuu, just the sight peke yake maleso na ma bedsheets zimeanikwa mbele ya ofisi....
alafu ground floor wazee na wamama wamejifunga vikoi.... mwengine ameamka kifua wazi anaenda kupiga mswaki ndani ya CBD
hahahahaAkili zimeanza kurudi siyo? This is DSM
Images from The Arch Ship in Dar es Salaam by indaressalaam, on Flickr
![]()
![]()
![]()
nijibu... karikou ni CBD au Residential Area???Tatizo huna exposure ndio maana mapovu yanakutoka mdomoni. Hivi unajua maana ya CBD na lengo lake ni nini?
Jifunze kwanza maana ya CBD na lengo lake kisha uje hapa siyo kutuaibisha waafrika. {Punguwani wewe}
Tunawagonga mpaka mnachanganyikiwa.hahahaha
pole bro.... jichoboy kaona hali si hali, kaingia mitini....
sasa wewe umezidiwa ukaamua kuleta dar slum nzima lool
issokey!
Kariakoo (Urban Ward, Tanzania) - Population Statistics, Charts, Map and Location
lol picture a CBD at the same time a residential area,,, yaani unaenda kirikuu, just the sight peke yake maleso na ma bedsheets zimeanikwa mbele ya ofisi....
alafu ground floor wazee na wamama wamejifunga vikoi.... mwengine ameamka kifua wazi anaenda kupiga mswaki ndani ya CBD
ok nadhani tumeelewanwa hapaTunawagonga mpaka mnachanganyikiwa.
This is Dar es salaam
![]()
![]()
hakuna mtz anayekimbia hii battle....thread tuliianzisha wenyewe so hatuwezi kuimbia...mkiona tupo kimya mjue tupo busy na responsibilities zingine...sisi sio majobless kama ninyi.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hahahaha
pole bro.... jichoboy kaona hali si hali, kaingia mitini.
hawa jamaa wakicheki news za Kenya hushangaa kwa nini sisi huvaa tai na suti na kuonyesha sura ya kazi ndani ya CBD....LOL! Acha nicheke kidogo...hiyo ni kali. eti mtu anaenda kupiga mswaki ndani ya CBD! hahaha. LDC baby
Wewe kwa akili yako huoni kwamba hiyo ni dhihirisho kwamba Dar is poorly planned? Honesty how can you have a residential area right in the middle of town? Halafu unasema eti Dar kila mahali kuna residential apartments? ni mara ngapi tumewaitisha picha za residential apartments za Dar kisha mnatuletea picha za beach apartments kwa wadosi? kubali tu hazipo na kama zipo ni vichache mno for a city so big like Dar.Kariakoo ni business area ,nmekwambia kuna maduka yakila aina kule,hotels,apartments,na sehemu zA michezo.....
Majengo mengi chini Ni maduka na floor za juu ni makazi....tatizo ni nn huelewi kiswahili au uwezo wa kuelewa ni mdogo sana, Dar kila mahali kuna residential apartments
Kama kenyata Au trump wanafnya shughuli zao ikulu na kulala apoapo nashangaa wewe unavyoshangaa kariakoo kua na makazi ya watu ni uwezo mdogo wa akili
Sibishani na mtu asiejielewa😀😀😀😀😀hahahaha
pole bro.... jichoboy kaona hali si hali, kaingia mitini....
sasa wewe umezidiwa ukaamua kuleta dar slum nzima lool
issokey!
Kariakoo (Urban Ward, Tanzania) - Population Statistics, Charts, Map and Location
siwezi umia bro.Nataka uumie kabisa leo.
Kariakoo CBD
![]()
![]()
![]()
Kilio chako ni kilio cha samaki😀😀😀😀😀😀siwezi umia bro.
ati CBD tena Residential Areaa???? hahahahaha