Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ila naona mkini Consult mtasonga mbele sana. Ideas ambazo niko nazo tunaweza saidiana alafu tuuinue nchi yenu.
Unahisi but wako watu makini tayari wameshapewa kazi...anza kutransform shacks zenu apo NBO maana mmekua na maeneo ya hatar binadamu kuishi lakini mnajisahau kama hayawahusu
 
Ulisema wewe ni Mhandisi?lakini presentation skills uko taabani yafaa ujifunze kua na uwezo wa kujadili mada. ..
Before you criticize somebody on presentation first learn how to construct a sentence. Question mark is always followed by a capital letter and then I have never seen any sentence ending with an ellipsis which is also wrongly presented and used.
 
Unahisi but wako watu makini tayari wameshapewa kazi...anza kutransform shacks zenu apo NBO maana mmekua na maeneo ya hatar binadamu kuishi lakini mnajisahau kama hayawahusu
Hizo already my juniors wanazingatia already. Transformation inayoendelea Kibera hamuezi fathom!

Naelekea Australia kutangamana na ideas za developed country, kisha nirudi Kenya ku endeleza jamii yangu
 
Nafikiria tuko on the path ya kufunga Huu mjadala.

Admin leta scores
 
Mayb nikusaidie mawazo,Anzeni kwanza kujenga walau brt or even tram mkimaliza mje kwenye doubledekker roads and mega industries ndio muwaze Jozi na sio has izo nyumba tatu apo na disel train mkadhan mmemaliza
You know the funny thing about Tz is that you guys always speak I'll of things you don't have jengeni SGR kwanza alafu muongee... You are always behind us in every thing na bado mnajicompare na sisi
 
You know the funny thing about Tz is that you guys always speak I'll of things you don't have jengeni SGR kwanza alafu muongee... You are always behind us in every thing na bado mnajicompare na sisi
Sgr iko uc sio will ni kitu kinafanyiwa kazi,Huu mjadala utaishaje bila watz kuona pinnacle tower? Utaishaje bila wakenya kuona treni ya kutumia umeme ndani ya jiji la Dar? Katika thread ambayo ni endelevu hii ni mojawapo...
 
khekhe umebadilisha bendera😀😀😀😀😀😀
7ba93050-56de-4b88-9e6c-862182f38621-jpeg.803637
anajikanyaga kanyaga tu......huyo mkenya pori
 
Thread itafungwa mkishaona treni ya umeme ndani ya jiji la Dsm na sisi mtuonyeshe pinaccle tower
Tukingoja Hadi 2050 SGR yenu ikimalizika wengine wetu tutakua tushakufa. NBO itakua London ya Africa. So bado niko of the opinion tufunge huu mjadala.

Dar bado mko chini.
 
Tukingoja Hadi 2050 SGR yenu ikimalizika wengine wetu tutakua tushakufa. NBO itakua London ya Africa. So bado niko of the opinion tufunge huu mjadala.

Dar bado mko chini.
😀😀😀😀wewe jamaa umelewa pombe gani sijui.so 2019 utakuwa umeshakufa??

sisi hatujakataa tuko chini sana but we are very sorry to say nairobi haina changamoto kwetu tena.tukikaa tunafungua karatasi za johburg kuona zina kipi kipya maana BRT na SGR tayari.
 
Anachosema ni kwamba CBD yenu haitoshi mboga.
Tungeweza kubeba UpperHill ya Nairobi tuilete huko Dar, ingekuwa the new CBD.
sasa mm namwambia Dar CBD ni kubwa kusanya cbd yenu kusanya upper hill kusanya na westland kwa pamoja ndio mutaeza kufkia dar cbd😀😀😀😀

yani upperhill uite new cbd wewe uko sawa kweli??
 
Tufunge Huu mjadala au LA?

Tufunge Huu mjadala au LA?

NBO jiji kuu. Dar Itabidi mmejikakamua
huu mjadala hautaisha mpaka tuhakikishe mumeona modern electric train in africa😀😀😀😀
 
Mayb nikusaidie mawazo,Anzeni kwanza kujenga walau brt or even tram mkimaliza mje kwenye doubledekker roads and mega industries ndio muwaze Jozi na sio has izo nyumba tatu apo na disel train mkadhan mmemaliza
wakianza kujenga bro nitag😀😀😀😀
 
wapi mwaswast 😀😀😀😀😀


Naona ujenzi ulisimama bado wanaume wa serikali walio na vitambi na reflectors trying hard to save face by posting few pictures of stalled project.😀😀😀
you trying too hard but ain't enough as we all kno Tz is falling apart right in front of our eyes.
 
ahead of slums, poverty, hunger, tribalism, unemployment, police killings, etc
Ahead in education 😀😀😀. One thing have realised is that large percentage of you are not educated and you are not exception😀😀.
 
Back
Top Bottom