Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Instead of these fools learning from us they're busy competing with things far ahead of them
Tunataka kufunga Huu mjadala tusonge mbele. Nyinyi our small brothers. Tutawasaidia kusonga mbele pia. Tutawasaidia ata nyinyi muweze kuTransform kijiji chenu. WaKenya watu wakarimu. Watu ambao watawapea msaada muweze kujiboresha. Watu ambao on average ni very clever kuliko the average african/tanzanian
Utajifunza nn apa kwa Hawa mbumbumbu?mko clever kwenye wizi Na ukabila mkajifunze kwanza ustaarabu ndio mrejee
 
Tunataka kufunga Huu mjadala tusonge mbele. Nyinyi our small brothers. Tutawasaidia kusonga mbele pia. Tutawasaidia ata nyinyi muweze kuTransform kijiji chenu. WaKenya watu wakarimu. Watu ambao watawapea msaada muweze kujiboresha. Watu ambao on average ni very clever kuliko the average african/tanzanian
Ulisema wewe ni Mhandisi?lakini presentation skills uko taabani yafaa ujifunze kua na uwezo wa kujadili mada. ..
 
Utajifunza nn apa kwa Hawa mbumbumbu?mko clever kwenye wizi Na ukabila mkajifunze kwanza ustaarabu ndio mrejee
UKABILA na WIZI is what makes us Kenyans. Hatuna haya. Tutakubali the situation on the ground. Lakini deep down waKenya watu wenye busara. Watu wa kujiboresha maisha.

Watu wa ajabu. Watu wa kujikakamua.
Hatari sana.

Tafadhali tufunge Huu mjadala. Hakuna vile mtaji compare na Sisi.

Nyinyi mnafaa kijiCompare na Kina DRC na Burundi. WaKenya ni watu wa ajabu. Watu ambao on average ni very clever kuliko the average Tanzanian/african
 
Kulia kwako ni Kariakoo,kushoto ni sehemu ndogo ya Upanga na mbele kabisa ni Posta. .Jumla ni tatu!!



Maeneo mengine ambayo yanakuja kwa kasi ni
IlalaView attachment 803639View attachment 803643

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Market is not a business district kijana, is like telling us that Kongowea in Mombasa is Business district. Know definitions of what you want to say before you talk. Just because the market is big doesn't necessarily makes it business district.
 
UKABILA na WIZI is what makes us Kenyans. Hatuna haya. Tutakubali the situation on the ground. Lakini deep down waKenya watu wenye busara. Watu wa kujiboresha maisha.

Watu wa ajabu. Watu wa kujikakamua.
Hatari sana.

Tafadhali tufunge Huu mjadala. Hakuna vile mtaji compare na Sisi.

Nyinyi mnafaa kijiCompare na Kina DRC na Burundi. WaKenya ni watu wa ajabu. Watu ambao on average ni very clever kuliko the average Tanzanian/african
Mjadala umeukuta ni rahisi wewe kupita wima sio kuufunga
Mko clever kwenye nn hasa? 😀 😀

Dunia ya Leo kama haupo makini ni maamuzi binafsi sio swala la utaifa Au rangi. ..Tangu awali nimekua na wasiwas juu u uwezo wako wakuchanganua mambo...unapenda sana kumaliza mjadala kabla hujaruhusu wadau wakupe za uso
 
Lakini Kivipi waTZ mkaanza kulinganisha Dar na NBO wakati MOMBASA imetulia tuu?

dar wanafaa kuzingatia jinsi ya kupishana na Jiji la MOMBASA.

Jiji hatari sana
 
Eneo lote hilo kulia laitwa kkoo...umaarufu wake ni uwepo wa soko kuu hapo! ! Jifunze
In other words down town kariokoo... A Business district entail major international, regional, privately and government owned companies/administration centers I don't see those in kariokoo or any of these tongue twisters your naming
 
Market is not a business district kijana, is like telling us that Kongowea in Mombasa is Business district. Know definitions of what you want to say before you talk.
Alafu kumbe na wewe pimbi sikujua...so do think izo nyumba apo zote wanauza nyanya na hoho?smh
 
In other words down town kariokoo... A Business district entail major international, regional, privately and government owned companies/administration centers I don't see those in kariokoo or any of these tongue twisters your naming
Downtown kkoo is correct
 
Ulisema wewe ni Mhandisi?lakini presentation skills uko taabani yafaa ujifunze kua na uwezo wa kujadili mada. ..
Mimi mhandisi hatari sana. Hatari yaani DANGER! [emoji88]

mimi mkinipa nafasi ya kuTransform Dar nitaiweza na kuwasaidia sana. mKenya mtu hatari sana
 
Mimi mhandisi hatari sana. Hatari yaani DANGER! [emoji88]

mimi mkinipa nafasi ya kuTransform Dar nitaiweza na kuwasaidia sana. mKenya mtu hatari sana
Kwa sasa work permit kupata yafaa ufunge mkanda and wahandisi wako mob mm nimesoma na marafiki zangu wengi tu kwa sasa ni wahandisi wala sioni cha ajabu..
 
Kwa sasa work permit kupata yafaa ufunge mkanda and wahandisi wako mob mm nimesoma na marafiki zangu wengi tu kwa sasa ni wahandisi wala sioni cha ajabu..
Lakini huwezi linganisha hao wahandisi na mimi. Mimi hatari. Mimi UNSW wamenisajili. Mimi kandarasi nikipata za Dar, transformation ata nyinyi waTZ mtafurahia.
 
Downtown kkoo is correct
But not a business District right?
If so.. Then I think this debate is completely useless.... A one business District town cannot compete with NBO in any terms... Nikama kulinganisha kigoma na joburg
 
Mimi mhandisi hatari sana. Hatari yaani DANGER! [emoji88]

mimi mkinipa nafasi ya kuTransform Dar nitaiweza na kuwasaidia sana. mKenya mtu hatari sana

Kuna miradi mingi ya kubadili jiji inaendelea maarufu kama DMDP wanadeal na miundombinu ya barabara mitaro madaraja pamoja na ujenzi wa nyumba see we are able to transform our city ,we don't need you
 
Alafu kumbe na wewe pimbi sikujua...so do think izo nyumba apo zote wanauza nyanya na hoho?smh
Know the difference between a commercial center and a business district. The number of houses in the place doesn't make it to be business district, how many international and national offices do Kariakor have, how many hotels does it contain etc.
 
Tufunge Huu mjadala au LA?

Tufunge Huu mjadala au LA?

NBO jiji kuu. Dar Itabidi mmejikakamua
 
But not a business District right?
If so.. Then I think this debate is completely useless.... A one business District cannot compete with NBO in any terms... Nikama kulinganisha kigoma na joburg
Mayb nikusaidie mawazo,Anzeni kwanza kujenga walau brt or even tram mkimaliza mje kwenye doubledekker roads and mega industries ndio muwaze Jozi na sio has izo nyumba tatu apo na disel train mkadhan mmemaliza
 
Kuna miradi mingi ya kubadili jiji inaendelea maarufu kama DMDP wanadeal na miundombinu ya barabara mitaro madaraja pamoja na ujenzi wa nyumba see we are able to transform our city ,we don't need you
Ila naona mkini Consult mtasonga mbele sana. Ideas ambazo niko nazo tunaweza saidiana alafu tuuinue nchi yenu.
 
Back
Top Bottom