tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Huu ndio mtindo going forward.Nafikiri saizi picha zote za NBO zilizomo humu ndani zimewapa just a taste of what it feels like to be NAIROBI (jiji kuu)
Nitawasihi waKenya hamna haja ya kuongeza zingine. Tuwaache Hawa warudie zao wao wenyewe wachoke na kijiji chao.
Tukiongeza picha zingine za NBO ama kurudia mapicha itakua ni kushusha hadhi ya NBO na itafanya jiji kuu kupoteza ladha kama kijiji chao.
Going forward ni kuDeconstruct ujinga wowote utakao letwa hapa, na kulisha Hawa watu FACTS tuu
Alikuja kubali finally kua wako chini kama nonsense.Akili punguani hawezi ona kuwa hiyo 87500kms ndio imevunjwa mara mbili into district and national roads
35000+52581 = 87581
yeye ameweka zote pamoja![]()
FACTSAt the end of the day
Huwezi linganisha Kenya ama NBO JIJI KUU na TZ ama huo mji wenu
WaKenya hatutaki kushindana na Dar any way WHATSOEVER. dar na TZ wao wanataka kushindana na NBO by ALL MEANS
Levels ndugu!
Saizi kwanza prospects ziko very enticing up north (ETHIOPIA na SOUTH SUDAN) Hao ndio watu tunataka kuhusishwa nao. WaKenya watu wenye kuona mbele. Watu hatari. Watu ambao...
WaKenya watu hatariwewe mjinga sana!!
KENYA itakosaje UNGA na SUKARI??
uko vizuri wewe!
Business men are trying to make a kill!
Wanatafuta pesa na WATAZIPATA hizo pesa wakenya wapende wasipende!!
Hii akili Mtanzania anaweza kua nayo kweli??
WaKenya watu hatari. Watu wa ajabu. Watu ambao on average ni very clever kuliko the average African/tanzanian
UMEME! DANGER!!![]()
Huo mnara ndio utakiss sky mayb sion nyumba ndefu apo
Halitatoka kama renders vile naliona
Hii ndio wap atleast imetulia maybe onyesha zaidi inaweza menyana na Upanga...Upanga ziko nyumba zakutosha na classic
Upanga is bae

😀😀ukiposti kariakoo kwa density yake huwa hawa quote kujibu,hapo huwezi kumuona.
heheh hata upanga hawajibu kabisa 😀😀😀😀ukiposti kariakoo kwa density yake huwa hawa quote kujibu,hapo huwezi kumuona.