Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nilidhani ni dar kumbe ni uko island kempinsky 25000usd kwa ivo bado haina mpinzani huu ukanda
ukhekhee niletee link kua kenya nzima kuna hoteli ya 10000 usd per night nasubiria hapa😀😀
nielewe naomba link😛😛😛
 
We've just proved you wrong. Wakati mnaruletea nyumba za Ksh 75,000 katika mitaa zenu tajika, huku Nairob kuna nyumba zinalipishwa hadi milioni moja za kikenya kila mwezi as rent. Za Ksh 250,000-Ksh600,000 nazo ziko everywhere. So umekubaliana nami?
Ichoboy katuma hapa nyumba za $9000 umeishia kusema inauzwa tangu lini nyumba ikauzwa $9000 Masaki? ?na ww uko too sentimental unaanza kua miyeyusho
 
khekhekehekhe leo kutamu humu
siku ukiniletea hotel ya 10000 usd per night kenya nzima unitag😀😀😀😀😀😀
Wewe tushakuzoea hapa. This is the same ulikuwa ukiitisha nyumba inalipishwa Ksh 400,000 per month ukaletewa hadi za milioni moja kwa mwezi. hehehe
 
Chauffeur boy unajua presidential suite pia? 😀😀😀 muindi anafanya Kazi mzuri kukuelimisha.
wow mr chocha karibu sana😀😀😀😀😀
hapa ni wapi ????
0BF0FB91-494D-4BD8-8DB7-D76E9F7A1259.jpeg
 
Wewe tushakuzoea hapa. This is the same ulikuwa ukiitisha nyumba inalipishwa Ksh 400,000 per month ukaletewa hadi za milioni moja kwa mwezi. hehehe
fala kweli wewe😀😀😀😀 sasa dar umeitambua vzr dharau zako wewe zinakutia ujinga
 
Mbezi beach ziko nyumba $ 9000 tatizo lenu mnadhan Dunia inaishia apo 254
Hizo ni nyumba za kununua, sio rentals. Nilishawaambia muende taratibu talize hii stiry ya rentals...za kununua runakuja next
 
Wewe ni wakuhurumiwa wewe kila kitu kubisha, tuletee iyo hoteli ya dar ya 10,000usd ama unyamaze
niletee link kua kuna hoteli yoyote kenya nzima price per night ni 10000 usd ukipata link nitag😀😀😀
 
Hizo ni nyumba za kununua, sio rentals. Nilishawaambia muende taratibu talize hii stiry ya rentals...za kununua runakuja next
Huwezi nunua nyumba Masaki $9000
Nyumba za kawaida kabsa ni $ 1M
 
Aliekwambia Dar hamna Ni nani?
Hakuna mtu anasema hakuna ata uganda na burundi am sure kunazo ila nairobi tunwambia hio ni rent ya kawaida kwa matajiri wa runda, kabete, karen, muthaiga etc
 
Hawa watani zetu wasipojipanga vyema ndani ya miaka kumi na tano watapata shock maana pang'ang'a nyingi hakuna wanachofanya Tz ina misuli tunachohitaji ni kuweka vtu pamoja na huhakikisha kila tunachofanya tunapata matokeo chanya calculated risk,strategies,plans,implementation,manage,matokeo chanya here we go,huu ni wakati wetu wa kujikusanya vijana tupo wenye uwezo mkubwa na vision pia
Do you know thats the same shit youve been speaking about since the 90s
 
Back
Top Bottom