Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ichoboy atapita hii polepole kana kwamba hajaiona...I told him about 12 lanes na anaitisha 10 lanes....Dar itasoma number ya Nairobi hadi mwisho wa safari
Ngoja nimuite
20180609_195124.jpg
 
nakwambie usije enda kusimama mbele za watu ukaita thika ni 10lanes utachekwa 😀😀😀😀zimeungana vp wakat hzo zinaruhusu kuingia na kutoka highway
Nimekuuliza zinaitwa aje? Sijakuuliza uniambie rumours.
 
Dar nzima kuna nyumba ya kulipwa Ksh400,000 per month? Nyumba kama hizi zimejaa maeneo ya Karen, Runda, Muthaiga, Lavington, Spring Valley, Ridgeways, Lower Kabete, Gigiri na kadhalika
hio iko magomeni dar es salaam😀😀😀
168561E2-349D-46D2-BC71-9D5483878D28.jpeg
 
Dar nzima kuna nyumba ya kulipwa Ksh400,000 per month? Nyumba kama hizi zimejaa maeneo ya Karen, Runda, Muthaiga, Lavington, Spring Valley, Ridgeways, Lower Kabete, Gigiri na kadhalika
420601A7-41E1-4A30-A8B9-72CB21C76768.jpeg
 
Dar nzima kuna nyumba ya kulipwa Ksh400,000 per month? Nyumba kama hizi zimejaa maeneo ya Karen, Runda, Muthaiga, Lavington, Spring Valley, Ridgeways, Lower Kabete, Gigiri na kadhalika
CE66C702-A00B-465B-A157-A0E83D4FADB2.jpeg
 
Dar nzima kuna nyumba ya kulipwa Ksh400,000 per month? Nyumba kama hizi zimejaa maeneo ya Karen, Runda, Muthaiga, Lavington, Spring Valley, Ridgeways, Lower Kabete, Gigiri na kadhalika
7FCEE5A6-D88A-4F2B-9FA6-68E9AF2ECFC6.jpeg
 
Dar nzima kuna nyumba ya kulipwa Ksh400,000 per month? Nyumba kama hizi zimejaa maeneo ya Karen, Runda, Muthaiga, Lavington, Spring Valley, Ridgeways, Lower Kabete, Gigiri na kadhalika
C4EDDF75-B4BF-488C-89AC-1435CA72C576.jpeg
 
Dar nzima kuna nyumba ya kulipwa Ksh400,000 per month? Nyumba kama hizi zimejaa maeneo ya Karen, Runda, Muthaiga, Lavington, Spring Valley, Ridgeways, Lower Kabete, Gigiri na kadhalika
1D1EFFEB-4A2E-4F4B-8B0C-2AB0185CCF52.jpeg
 
hii ni 10 lanes ww akili unayo kweli hio ni 8 lanes hvi 10 lanes unaijua vzr wewe😀😀😀😀😀
ukisogea pale mbele kidogo road imeisha inakuwa 3lane yaan ni hiko kipande tu.....wakenya kweli cheche za mavi ya mbuzi
 
terminal 3 inawatoa roho wakenya hawana hamu😀😛😛😛😀😀
Hawa watani zetu wasipojipanga vyema ndani ya miaka kumi na tano watapata shock maana pang'ang'a nyingi hakuna wanachofanya Tz ina misuli tunachohitaji ni kuweka vtu pamoja na huhakikisha kila tunachofanya tunapata matokeo chanya calculated risk,strategies,plans,implementation,manage,matokeo chanya here we go,huu ni wakati wetu wa kujikusanya vijana tupo wenye uwezo mkubwa na vision pia
 
Back
Top Bottom