Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kasome maelezo ya mwenzio vzr mamame leo lazma niwashkishe adabu😀😀😀😀😀😀
Ata mimi na ngija hoteli inaitwa kempinsky villa rosa nje ya kenya na uache kuchezea watu akili, ivi we uko na miaka ngapi?
 
For rent. ..
Wazee wa kileleshwa na Muthaiga nadhan tumeongea lugha moja
Screenshot_2018-06-10-01-07-14.jpg
View attachment 799152
 
Ata mimi na ngija hoteli inaitwa kempinsky villa rosa nje ya kenya na uache kuchezea watu akili, ivi we uko na miaka ngapi?
link ya 10000usd per night kenya nzima umekosa hahahhahahah😀😀😀😀 leo kutamu sana humu
 
narudia tena mkenya yoyote aniletee link ua hoteli yoyote kenya nzima 10000 usd per night😀😀😀😀
 
Mbavu zangu😀😀😀😀😀😀 Ati hii 5ml usd? Unless wanauza kiwanja chenye imejengwa huu ni usanii😀😀😀😀😀
heheheh kisu kimekaa sehemu yake 5million usd hehheheheheh masaki baby utaua watu
FACA9D26-AF97-4363-86EB-4EFFC6A429A5.jpeg
 
leta link ya 25000 usd hapa msaidie mwenzako kuleta link😀😀😀😀😀😀
uwache ujinga! nimekupa link ya villa rosa Kempinski, the only one in the world with that name naona sasa tumbo kakusokota. hapa aisee uwanja umeteleza, naomba ulete evidence kuwa kuna Kempinski nyengine duniani iitwayo villa rosa na kuwa link nilio itoa ni ya Kempinski nyengine. bila hivyo mbumbumbu zako upeleke vijiweni tandale.
 
uwache ujinga! nimekupa link ya villa rosa Kempinski, the only one in the world with that name naona sasa tumbo kakusokota. hapa aisee uwanja umeteleza, naomba ulete evidence kuwa kuna Kempinski nyengine duniani iitwayo villa rosa na kuwa link nilio itoa ni ya Kempinski nyengine. bila hivyo mbumbumbu zako upeleke vijiweni tandale.
narudia tena mkenya yoyote aniletee link kua kuna hoteli yoyote kenya nzima kua ipo hoteli per night 10000usd 😀😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom