Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

povu...hahahaha. i like it.
Haha unafaa kujua most Kenyans wanamiliki mashamba isipokuwa ndani ya Nairobi...but metro towns za Nairobi like rongai,Ngong,kikuyu,thika,athi river na Kitengela watu wanaishi mkwao..sehemu zingine zote Kenya watu wako na makwao.
 
Haha unafaa kujua most Kenyans wanamiliki mashamba isipokuwa ndani ya Nairobi...but metro towns za Nairobi like rongai,Ngong,kikuyu,thika,athi river na Kitengela watu wanaishi mkwao..sehemu zingine zote Kenya watu wako na makwao.
hii takataka ambia wanaijeria kule nairaland, sio mimi mtz
 
according to him, it's a family farm not his.
Ataridhi pia...
kwetu pia wajukuu wote 15 tuliridhi 50acres kila mmoja ya chai (Lari constituency,kiambu)kutoka kwa babu yangu.
Kuridhi pia si mbaya but tunanunua zetu.
 
HABARI YA KUSIKITISHA MIONGONI MWA WAKENYA WA JF WASIOPENDA CHOCHOTE TOKA TZ.

it is confirmed, cecafa 2018, azam tv tano tena for the second time. viva tanzania.

IMG_20180605_164019.jpg
 
hii takataka ambia wanaijeria kule nairaland, sio mimi mtz
Tumia road ya narok,bomet,kisii,homabay hadi migori ukielekea mwanza uone wakenya wakiishi kwa mashamba zao..pia tumia northern corridor hadi bungoma...hii upuzi ya kusema wajenya hawana mashamba acheni
 
Tumia road ya narok,bomet,kisii,homabay hadi migori ukielekea mwanza uone wakenya wakiishi kwa mashamba zao..pia tumia northern corridor hadi bungoma...hii upuzi ya kusema wajenya hawana mashamba acheni
labda kwa ndotoni.
 
Sasa sponsor atakuwaje tena mmiliki wa klabu? kwani Arsenal inamilikiwa na Fly Emirates? Au Man utd inamilikiwa na Chevrolet? sponsors are just sponsors and that's it. That's why you will see teams changing sponsors every now and then. Kweli we are just arguing with zuzus

Hawa jamaa n zuzu qweli.
 
kumbe kuwa na Bus nzuri haimaanishi hamuwezi lose game 😀😀
SC20180605-171046-1.jpg
 
Back
Top Bottom