Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

trend13-1.jpg
hiyo shamba kama sio ya politician basi mmiliki atakuwa ni kati ya wale wakenya matajiri waliopora ardhi za wakenya masikini.

mashamba kama hayo huku kwetu tanzania humilikiwa na watu wa kipato cha kawaida tu.
 
hiyo shamba kama sio ya politician basi mmiliki atakuwa ni kati ya wale wakenya matajiri waliopora ardhi za wakenya masikini.

mashamba kama hayo huku kwetu tanzania humilikiwa na watu wa kipato cha kawaida tu.
Why are you always so negative thinking no ordinary kenyan can own land... This is our family tea farm in Kericho. got any problem with that?
Screenshot_2018-06-05-15-20-09.png
Screenshot_2018-06-05-15-18-54.png
 
POST YA KICHOKOZI YA KULIAMSHA DUDE LA HASIRA ZA WAKENYA.


moja kati ya fahari kubwa kwa mwanaume wa kiafrika ni kumiliki shamba, kiwanja na kuishi katika nyumba yake aliyoijenga na kuigharamia yeye mwenyewe.

sio kuishi katika nyumba ya ku-rent iliyojengwa na mwanaume mwengine halafu ujisifie kuwa wewe ni mwanaume.

leo nilienda kuzungusha uzio katika moja ya plot yangu(wakenya huita shamba) ninayoimiliki kilimota kadhaa nje ya jiji la dar es salaam.

najuwa kwa vyovyote vile wakenya hawatafurahi kwa mimi kupost picha hizi,lazima watatoa povu cos ni lawaida yao kutoa povu pale mtanzania anapo-post kitu/asset ambayo kwao ni adimu kumilikiwa na mkenya wa kipato cha kati.

rejea povu wanalotoa kuhusu gari na Iphone ya ichoboy.

mind you my plot is located in dar es salaam some kilometers away from the capital city.not in ushago or mashinani like many of you use to brag ati ooh tuko na mashamba ushago.



IMG_20180605_134103.jpg
IMG_20180605_133822.jpg
IMG_20180605_134052_1.jpg
IMG_20180605_134158.jpg
IMG_20180605_133732_1.jpg
IMG_20180605_134150.jpg
IMG_20180605_133725.jpg
 
POST YA KICHOKOZI YA KULIAMSHA DUDE LA HASIRA ZA WAKENYA.


moja kati ya fahari kubwa kwa mwanaume wa kiafrika ni kumiliki shamba, kiwanja na kuishi katika nyumba yake aliyoijenga na kuigharamia yeye mwenyewe.

sio kuishi katika nyumba ya ku-rent iliyojengwa na mwanaume mwengine halafu ujisifie kuwa wewe ni mwanaume.

leo nilienda kuzungusha uzio katika moja ya plot yangu(wakenya huita shamba) ninayoimiliki kilimota kadhaa nje ya jiji la dar es salaam.

najuwa kwa vyovyote vile wakenya hawatafurahi kwa mimi kupost picha hizi,lazima watatoa povu cos ni lawaida yao kutoa povu pale mtanzania anapo-post kitu/asset ambayo kwao ni adimu kumilikiwa na mkenya wa kipato cha kati.

rejea povu wanalotoa kuhusu gari na Iphone ya ichoboy.

mind you my plot is located in dar es salaam some kilometers away from the capital city.not in ushago or mashinani like many of you use to brag ati ooh tuko na mashamba ushago.



View attachment 794803View attachment 794804View attachment 794805View attachment 794806View attachment 794807View attachment 794808View attachment 794809
natumai mambo ni kuunguza,,,soon watakuja
 
POST YA KICHOKOZI YA KULIAMSHA DUDE LA HASIRA ZA WAKENYA.


moja kati ya fahari kubwa kwa mwanaume wa kiafrika ni kumiliki shamba, kiwanja na kuishi katika nyumba yake aliyoijenga na kuigharamia yeye mwenyewe.

sio kuishi katika nyumba ya ku-rent iliyojengwa na mwanaume mwengine halafu ujisifie kuwa wewe ni mwanaume.

leo nilienda kuzungusha uzio katika moja ya plot yangu(wakenya huita shamba) ninayoimiliki kilimota kadhaa nje ya jiji la dar es salaam.

najuwa kwa vyovyote vile wakenya hawatafurahi kwa mimi kupost picha hizi,lazima watatoa povu cos ni lawaida yao kutoa povu pale mtanzania anapo-post kitu/asset ambayo kwao ni adimu kumilikiwa na mkenya wa kipato cha kati.

rejea povu wanalotoa kuhusu gari na Iphone ya ichoboy.

mind you my plot is located in dar es salaam some kilometers away from the capital city.not in ushago or mashinani like many of you use to brag ati ooh tuko na mashamba ushago.



View attachment 794803View attachment 794804View attachment 794805View attachment 794806View attachment 794807View attachment 794808View attachment 794809
hahaha Jizee linaguruma na hasira....iyo yako ni kichaka....semi arid kama samburu
 
Back
Top Bottom