kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
hiyo shamba kama sio ya politician basi mmiliki atakuwa ni kati ya wale wakenya matajiri waliopora ardhi za wakenya masikini.
mashamba kama hayo huku kwetu tanzania humilikiwa na watu wa kipato cha kawaida tu.

