kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
hii porojo sasa.GOR iko dunia ingine... Ball yao iko juu sana nikama USEMWE Real Madrid vs Liverpool



hii porojo sasa.GOR iko dunia ingine... Ball yao iko juu sana nikama USEMWE Real Madrid vs Liverpool



Manyika kweli ni Tishiona wasipokuwa makini, watafungwa na singida united.
kumbuka mpira sio porojo za mashabiki jukwaani au kwenye social media, mpira ni dakika 90 dimbani.
naona kuna kitu unataka ku-justify.

Huo msee ni Moto ya kuotea MBALI.. Akifika Ulaya hatarwjea... Atachukuliwayes ofcos, his father was also a former goalkeeper for tanzania national team and other clubs in tanzania and outside the country.
villagers ndio husherehekea wakiona garinaona kuna kitu unataka ku-justify.![]()
![]()
![]()
![]()
Experience ndio naongelea kaka Gor experience iko juu sanahii porojo sasa.![]()
kuna wakati alikuwa kwenye hali nzuri sana ya kimpira.Huo msee ni Moto ya kuotea MBALI.. Akifika Ulaya hatarwjea... Atachukuliwa
hii ni pumbaGOR iko dunia ingine... Ball yao iko juu sana nikama USEMWE Real Madrid vs Liverpool
Nkt!!... Punda milia ndio yenyu sasahii ni pumba
kwa hiyo unataka kusema licha ya basi la gormahia kuwa chakavu, watu wa ushago hawalisherekei?.villagers ndio husherehekea wakiona gari

hio ni bus au stoo ya kuwekea vyakula vya bata😀😀😀😀😀😀😀😀
katika porojo nilizowah kuskia hapa jamii forum hii kiboko ya njia😀😀😀😀GOR iko dunia ingine... Ball yao iko juu sana nikama USEMWE Real Madrid vs Liverpool
na wasipokuwa makini, watafungwa na singida united.
kumbuka mpira sio porojo za mashabiki jukwaani au kwenye social media, mpira ni dakika 90 dimbani.