ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
hahahha yani ulivo huna akili ukitaka kusema sport pesa ni team ya kenya asilimia 100😀😀😀 maana umeshipalia sana ndugu team za tanzania zina wadhamini wakutosha tena wenye pesa na hzo team revenue yake ni kubwa kusanya team zote za kenya hamunusi hata harufu😛😛😛😛😛It's crystal clear that you don't know a thing or two about club sponsorship in world football. Naona hata Emirates pia waliomba msaada kutka kwa arsenal