Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

neno simba damu hio ndio maana yake😀😀
9A468105-E224-4FD4-8FF0-C3DB3B64EC93.jpeg
 
wapi ameandika kua kwanzia leo mm sidhamini simba ukiona sehem kaandika nitag😀😀😀😀
umeskia neno simba damu unajua maana yake??
5yr long term deal na Sportpesa. ikiisha, inaandkishwa deal nyengine. Mo de Uji atangoja sana
 
Kwahiyo unahisi nafasi ya MO imechukuliwa na sportpesa!!!!
yani hawa watu ni wajinga sijapata kuona😀😀😀 alaf wanavoongea utasema sport pesa ni yao 100% heheh kumbe wana 48 out of 100 zilizobaki 52 zinamilikiwa na wazungu😛😛😛
 
heheeh million 225 wanaona imetolewa billion wakat kwao team za tanzania ni pesa ya mbuzi tu😀😀
Ni pesa wametoa wanaita,halafu mjinga mmoja anapambanisha nafasi ya azam na sportpesa tz.

Hiyo pesa hata kumlipa manara peke yake kwa mwaka haitoshi.
 
Back
Top Bottom