Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahahaha chezeya watz huyu...hakujua kama Mimi nilikuwa nampeleka kibra ili achinjwe.

akirudi kwa ID mpya atarudi kwa adabu.

na akija kwa kasi ile ile ya matusi,kazi itakuwa moja tu,kum-troll ili apigwe ban.

sisi ndio watz tunaomiliki jf.
huo ujinga wao waupeleke Twitter.kule ndio huwa uwanja wao wanaotumia kutoa stress zao wanapo debate na watu wa mataifa ya nje ya kenya.
Asante kiongozi ilikuwa kero hasa acha aende akaongee matusi yake huko mashada.
 
0e4574074735d5c2c98c2e88572b470e.jpg
see mzizima tower taking shape, cranes still erected
 
Moro at its best,see how ar they using those opportunities coming in they ar ways
 
Hapana! Give credit where it is due.

Hizi zilikuwa ni miradi za KIKWETE.

jakaya-1024x728.jpg


Jamaa alikuwa msharp na mchapa kazi kabisa, hivi leo mnamsahau tu hivi? Ati John Pombe for kila kitu kizuri in Tanzania and yet hajahudumu even for a 1000days.
Aliepitisha budget na kufanya mpango wa kuzijenga ndo kajenga
Mwanzoni kulikuwa na plan tangu enz za mkapa kule ila jamaa ndo kapitisha budget
Na huu ni mwaka moja
Ndani ya miaka mitano dar itakuwa megacity
 
Asante kiongozi ilikuwa kero hasa acha aende akaongee matusi yake huko mashada.
asante mkuu.huyu kijana kavumiliwa sana na watz, hana hata mwezi tangu ajiunge jf,lakini speed ya matusi aliyokuwa anaenda nayo haikuwa na staha mbele ya watu wazima wanaonjiheshimu.ilibidi atokee mtu wa kumpunguza speed.

nimekuwa member mwaminifu wa jf tangu 2011,na nimewahi ku-debate na member wengi wakenya hapa jf.

niliwahi ku-debate na kina kabaridi,nairobery na member wengine wakongwe wakenya ambao kwa sasa hawaonekeni.

hivyo basi nina uzoefu na ujanja mwingi ktk kucheza na akili za member vichaa kama huyu kijana wa mitaa ya kibera toka kenya.

nimemuingiza kwenye 18,akapaniki,hatmaye akaanza kuleta picha za ajabu ajabu,zile ambazo wakenya hupenda kuzitumia kule Twitter ku-troll watu wa mataifa mengine pinzani na kenya.mwishowe akachezeya ban.
 
Ole wenye mnaochukizwa na barabara zetu........tutaendelea kuzipost humu tu hadi kieleweke. Mji gani lisilo na mabarabara sampuli hii inadhani iko great? Cheki..........

21275669208_1427f2a8d5_k.jpg


15216286829_363216d24a_h.jpg


Screen-Shot-2016-02-17-at-3.20.39-PM.jpg
 
Hiyo ni treni ya mzigo, za abiria zinakaa hivi, on the left.

china1-1-1024x669.jpg


SGR passenger train

0fgjhs2v35pomhnmog.16a0d46d.jpg



Hebu tazama na hizi treni za mzingo za mataifa mengine kama America, China, Japan na Germany
30738.jpg


135544696_14696609762141n.jpg


freight-train.jpg


cargo-trains-are-situated-at-europes-biggest-railroad-yard-in-maschen-DAG17J.jpg


Kwa kawaida treni za mizigo huwa na sura mbaya namna hiyo.
So unataka kutuambia hio ya mzigo hahhahaha
6a3568ec75354456ab1e6b6fc1540ba0_XL.jpg
 
Ole wenye mnaochukizwa na barabara zetu........tutaendelea kuzipost humu tu hadi kieleweke. Mji gani lisilo na mabarabara sampuli hii inadhani iko great? Cheki..........

21275669208_1427f2a8d5_k.jpg


15216286829_363216d24a_h.jpg


Screen-Shot-2016-02-17-at-3.20.39-PM.jpg
Kwanza wewe unatakiwa uelewe kitu kimoja dar inabarabara nyigi sana tena sana kuliko nairobi sema sasa Barbara za nai ni pana na zimejengeka vzr lakin kunambia dar hakuna barabara hahhahaha utakimbia mwenyewe na niliwambia miaka 2 ijayo dar kwenyw infrastructures itakua moto wakuotea mbali
 
Hiyo ni treni ya mzigo, za abiria zinakaa hivi, on the left.

china1-1-1024x669.jpg


SGR passenger train

0fgjhs2v35pomhnmog.16a0d46d.jpg



Hebu tazama na hizi treni za mzingo za mataifa mengine kama America, China, Japan na Germany
30738.jpg


135544696_14696609762141n.jpg


freight-train.jpg


cargo-trains-are-situated-at-europes-biggest-railroad-yard-in-maschen-DAG17J.jpg


Kwa kawaida treni za mizigo huwa na sura mbaya namna hiyo.
Ya kwenu dereva mpaka aekewe ngazi za kushuka hahaahhaha yani wachina wamewapiga kisawasawa hahahhahahha
 
Back
Top Bottom