Melvin 16
JF-Expert Member
- Mar 18, 2012
- 483
- 500
Pamoja sana kiongozi hatuwezi kuwaacha vichaa wachache waje kutuharibia JF yetu, jamaa alikuwa ananitia hasira sana na matusi yake akiona ameshindwa kwenye hoja anatumia matusi, job well done mkuu.asante mkuu.huyu kijana kavumiliwa sana na watz, hana hata mwezi tangu ajiunge jf,lakini speed ya matusi aliyokuwa anaenda nayo haikuwa na staha mbele ya watu wazima wanaonjiheshimu.ilibidi atokee mtu wa kumpunguza speed.
nimekuwa member mwaminifu wa jf tangu 2011,na nimewahi ku-debate na member wengi wakenya hapa jf.
niliwahi ku-debate na kina kabaridi,nairobery na member wengine wakongwe wakenya ambao kwa sasa hawaonekeni.
hivyo basi nina uzoefu na ujanja mwingi ktk kucheza na akili za member vichaa kama huyu kijana wa mitaa ya kibera toka kenya.
nimemuingiza kwenye 18,akapaniki,hatmaye akaanza kuleta picha za ajabu ajabu,zile ambazo wakenya hupenda kuzitumia kule Twitter ku-troll watu wa mataifa mengine pinzani na kenya.mwishowe akachezeya ban.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()