iCHOOboy na ANAel yaani mko related na jina mbovu ivo....nyinyi hamwezani na kupingana na Kenyans...uliza Nigerians na south Africans kenye walifanyiwa twitter...wewe na wewe I will deal with u 'perpendicularly'😀😀😀😀😀 naona ichoboy anakutesa sana ubongo wako kutwa unawaka moto hahahahaha sina facts au nakuletea vitu ambavyo mpaka unakufa hutaviona Kenya hajhahahah
😀😀😀😀😀😀 maskini ya Mungu sifa sitakuuweni hahhahhaha duuuhhh mpaka huruma hahahahhaha bongo hua hatujionesh sisi tunatekeleza tu....mkibanwa kidogo munabadilisha mada hahahahaha hua munanifurahisha sana😀😀😀iCHOOboy na ANAel yaani mko related na jina mbovu ivo....nyinyi hamwezani na kupingana na Kenyans...uliza Nigerians na south Africans kenye walifanyiwa twitter...wewe na wewe I will deal with u 'perpendicularly'
Ety hamujionyeshi sasa izo picha za dar niza nini basi...iCHOOboy unabelong chooni😀😀😀😀😀😀 maskini ya Mungu sifa sitakuuweni hahhahhaha duuuhhh mpaka huruma hahahahhaha bongo hua hatujionesh sisi tunatekeleza tu....mkibanwa kidogo munabadilisha mada hahahahaha hua munanifurahisha sana😀😀😀
Hahhahahhaha mambo tyt au sioooooo hahahhahahahah umenifurahisha sana nduguEty hamujionyeshi sasa izo picha za dar niza nini basi...iCHOOboy unabelong chooni
kushindwa kubaya sana, ona ssa kaibuka na kutoa vtisho . inatia huruma sana, ila kwa info. ukae ukijua wabongo ni hatari sana kwenye fitna shauri yako!! ha haaaaaiCHOOboy na ANAel yaani mko related na jina mbovu ivo....nyinyi hamwezani na kupingana na Kenyans...uliza Nigerians na south Africans kenye walifanyiwa twitter...wewe na wewe I will deal with u 'perpendicularly'
napendelea ivi zaidi kuliko kukua na concrete kila mahali..Mko na empty space kibao...not dense kabisa
Tafuteni 2 trillion muokoe jahazi hahhahhahahah onesha picha za lamu wanifanya mm sijui au hahahhahahahaha kazi ipo naona magufuli anawapeleka mchakamchaka hahahahahah
![]()
![]()
![]()
[/QUOTE![]()
waambie walete bagamoyo tuoone
Hapana! Give credit where it is due.Zinajengwa 3 kwa mpigo hhahhahaha aise magufuli ni motoooooooooo
Tazara
View attachment 490805
Ubungo baby
View attachment 490806
Tabata fly over hahahahha
View attachment 490807
Zote under construction kwa pamoja hahahahhaha dar tamuuuuuuuuuuuuuuu
Hatuwez kumsahau kikwete ndio kichwa cha Tanzania mpaka Leo hiii bado anatumikia Tanzania usifkiri amelala yupo kazini usiku na mchana na magufuli na anajuhudi zake anajitahidi pia........hatujamsahau mtu hapaaaaa hahahhaha wanafanya kazi pamoja tena kwa bidiiHapana! Give credit where it is due.
Hizi zilikuwa ni miradi za KIKWETE.
![]()
Jamaa alikuwa msharp na mchapa kazi kabisa, hivi leo mnamsahau tu hivi? Ati John Pombe for kila kitu kizuri in Tanzania and yet hajahudumu even for a 1000days.
Ndio, lakini si fair kumlimbikizia sifa JP kwa initiatives ambazo hata si zake. Nearly miradi 90% zinazoendelea kwa sasa zilihasisiwa na serikali ya kikwete, uchumi wa Tz kwa miaka 10 iliopita imekuwa ikikuwa kwa kasi, +7%, kipindi cha JK. Humu watu husema ni kutokana na JP. Lakini tazama comments za observers wengi wanavyomcriticize JP jinsi anavyohandle uchumi kwa sasa. Tafadhalini, mpeni angalau miaka minne ndio mjue kama kweli yeye anafaa kuendesha taifa hilo au la. JP anablunder, haonekani kuwa na ile hekima ya JK.Hatuwez kumsahau kikwete ndio kichwa cha Tanzania mpaka Leo hiii bado anatumikia Tanzania usifkiri amelala yupo kazini usiku na mchana na magufuli na anajuhudi zake anajitahidi pia........hatujamsahau mtu hapaaaaa hahahhaha wanafanya kazi pamoja tena kwa bidii
Hamna chaajabu hapo
Safi sana hiyo wallahi