ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
na huyo ni msemaji wa team ya simba heheh anatembelea prado matata😀😀😀😀 wapi wa gor mahiaHehehe....mnatia huruma kweli! Na ile yanga tenu saa hii iko wapi? naamini wako pale tandale na mbagala kwa shacks (dream houses za watanzania) wakingoja kichapo cha mwaka kutoka kwa serikal, Gor mayienga in confiderations cup