Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
wewe niamini mimi sportpesa ni kivuli kwetu haina impact kubwa kwa club zetu........ndiyo maana hatukuwatafuta walijileta wenyewe nakuanza kuomba omba udhamini......tukaona ngoja tuwahurumie.....muonekano na ndivyo hivyo hivyo mkaenda kuomba baadhi ya club 2,3 za uingereza nao wakawahurumia......Kuna mmoja wao alikuwa akinyamba hapa eti sportpesa haina pesa za kuwawezesha kusponsor hizi vilabu zao za ujinga simba na yanga wakati hata sasa jezi wanatumia ineandikwa sportpesa!! Hawa watu ni vilaza kweli
