Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wasee wa kulala bedsitter someni ujumbe huo toka kwa mkenya "mwenzenyu".

IMG_20180531_073853.jpg
 
Siku utaelewa chenye diamond huimba unitag
wewe sikiliza mziki mzuri achana na kiswahili cha diamond, after all hakuna mkenya anayeweza kuelewa kiswahili cha diamond platnumz. his kiswahili ili classic.

kuna siku nikiwa kwa matatu zenyu hapo nairobi, nikasikia "despacito" ya luis fonsi
ikipigwa kwa matatu.unataka kuniambia majority ya wakenya wanaelewa spanish?.
 
wewe sikiliza mziki mzuri achana na kiswahili cha diamond, after all hakuna mkenya anayeweza kuelewa kiswahili cha diamond platnumz. his kiswahili ili classic.

kuna siku nikiwa kwa matatu zenyu hapo nairobi, nikasikia "despacito" ya luis fonsi
ikipigwa kwa matatu.unataka kuniambia majority ya wakenya wanaelewa spanish?.
Kwa ngoma nyingi zake hua anabweka tu.....hakuna kitu cha maana hua anasema
 
Kwa ngoma nyingi zake hua anabweka tu.....hakuna kitu cha maana hua anasema

hiyo ni porojo tu unaongea.

licha ya kwamba huwa hamuwezi kuelewa kiswahili chake, nyinyi ni mashabiki wakubwa wa diamond platnumz kiasi kwamba mpaka jina lake mmeliandika kwa matatu zenyu.

it is not a secret, kenyans are royal diamond platnumz fans.

IMG_20180531_091038.jpg

NB:
ulishawahi kuona jina au picha ya mwanamziki au celebrity yoyote wa kenya kwenye public transport za tz?.
ukipata nitag.
 
hiyo ni porojo tu unaongea.

licha ya kwamba huwa hamuwezi kuelewa kiswahili chake, nyinyi ni mashabiki wakubwa wa diamond platnumz kiasi kwamba mpaka jina lake mmeliandika kwa matatu zenyu.

it is not a secret, kenyans are royal diamond platnumz fans.

View attachment 790472
NB:
ulishawahi kuona jina au picha ya mwanamziki au celebrity yoyote wa kenya kwenye public transport za tz?.
ukipata nitag.
Diamond zii Alikiba labda... Huo msee Sijui anadhani he ni Chris brown nini?
 
Back
Top Bottom