Spenzia
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 497
- 211
Huyu bado hamjamnyua supumsemaji wa simba sport club ana chuma cha adabu hebu tuone msemaji wa gor mahia ana nini??😀😀😀😀 ofisi hawana sijui atakua ana nini???😛😛😛
View attachment 789543
Huyu bado hamjamnyua supumsemaji wa simba sport club ana chuma cha adabu hebu tuone msemaji wa gor mahia ana nini??😀😀😀😀 ofisi hawana sijui atakua ana nini???😛😛😛
View attachment 789543
Hako kakijiji ni kadogo sanaichoboy01 be like dar ni kubwa sana ata posta pekee uwezi pata na licha moja😀😀😀View attachment 789619 View attachment 789620
this is one sad fellalamu pipeline RIP😀😀😀😀
montave RIP
pinnacle RIP
Konza RIP
tatu city RIP
naomba munifkishie salamu za rambi rambi😛
Probox kabisaproduction ilianza 1998 but this car is s300 hehehhe 😀😀😀😀 pole sana kwa kutokwa na povu jingi leta na yako basi
View attachment 790028 View attachment 790029
Man jamaa nakuinbox vitu pale Whatsapp unakuja kupost hapa😀😀😀😀.macbook pro 2017 without touch bar😀😀😀😀
View attachment 790047 View attachment 790048 View attachment 790049
Siku utaelewa chenye diamond huimba unitagwakenya, wakati mkiendelea kujadili gari la mdogo wangu ichoboy, kumbukeni siku chache zilizopita diamond platnumz kanunua gari jipya.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
View attachment 786486View attachment 786487View attachment 786489
nakaribisha porojo.
wewe sikiliza mziki mzuri achana na kiswahili cha diamond, after all hakuna mkenya anayeweza kuelewa kiswahili cha diamond platnumz. his kiswahili ili classic.Siku utaelewa chenye diamond huimba unitag

Kwa ngoma nyingi zake hua anabweka tu.....hakuna kitu cha maana hua anasemawewe sikiliza mziki mzuri achana na kiswahili cha diamond, after all hakuna mkenya anayeweza kuelewa kiswahili cha diamond platnumz. his kiswahili ili classic.
kuna siku nikiwa kwa matatu zenyu hapo nairobi, nikasikia "despacito" ya luis fonsi
ikipigwa kwa matatu.unataka kuniambia majority ya wakenya wanaelewa spanish?.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sasa ju Una spin Nexus Unajiona mnoma sana nkt!! Acha nimade Campus Hii ntakuuzia..Lexus Altezza still
Kwa ngoma nyingi zake hua anabweka tu.....hakuna kitu cha maana hua anasema


😀😀😀😀 hawana akili hawa wanahisi kila mmoja ni sawa tuVile tunabishana humu wanadhani tunashinda CBD na bahasha za kaki tukitafuta kazi.
ukweli unauma ujue 😀😀😀 go on posting rendersthis is one sad fella
uhahaha kitu lexus s300 uk model 7 speed manual transmission 2004 my friend😀😀😀😀Probox kabisa
anhhh sasa hzo hasira 😀😀😀😀 acha plzSiku utaelewa chenye diamond huimba unitag
Diamond zii Alikiba labda... Huo msee Sijui anadhani he ni Chris brown nini?hiyo ni porojo tu unaongea.
licha ya kwamba huwa hamuwezi kuelewa kiswahili chake, nyinyi ni mashabiki wakubwa wa diamond platnumz kiasi kwamba mpaka jina lake mmeliandika kwa matatu zenyu.
it is not a secret, kenyans are royal diamond platnumz fans.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
View attachment 790472
NB:
ulishawahi kuona jina au picha ya mwanamziki au celebrity yoyote wa kenya kwenye public transport za tz?.
ukipata nitag.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()