Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nakumbuka wakati fulani kolomwizi alitaka ligi na wewe ya kumiliki latest iPhone na kumiliki gari.

matokeo yake akaishia kuaibika na kuanza ku-catch mafeelings.
heheh wacha na huyo akapige picha gari yoyote CBD aje atwambie yake
alaf hawajui yani kumiliki gari kwa kijana tanzania its so easy wallah
 
production ilianza 1998 but this car is s300 hehehhe 😀😀😀😀 pole sana kwa kutokwa na povu jingi leta na yako basi
View attachment 790028 View attachment 790029
usipoteze mda kubishana na wakenya...siku hizi huwa natumia nguvu kidogo sana ku argue na hawa vilaza.

huyo bwege dawa yake andika jina la ID yake kwa mkono kwenye kikaratasi halafu kipige picha ukiwa una drive then ki upload hapa.

fanya kama ulivyomfanyia kolomwizi wakati ule.
 
usipoteze mda kubishana na wakenya...siku hizi huwa natumia nguvu kidogo sana ku argue na hawa vilaza.

huyo bwege dawa yake andika jina la ID yake kwa mkono kwenye kikaratasi halafu kipige picha ukiwa una drive then ki upload hapa.

fanya kama ulivyomfanyia kolomwizi wakati ule.
😀😀😀😀😀wacha nimalize kuoga alaf nishuke chini au nimuazie hapa hapa nyumban😛😛😛
 
usipoteze mda kubishana na wakenya...siku hizi huwa natumia nguvu kidogo sana ku argue na hawa vilaza.

huyo bwege dawa yake andika jina la ID yake kwa mkono kwenye kikaratasi halafu kipige picha ukiwa una drive then ki upload hapa.

fanya kama ulivyomfanyia kolomwizi wakati ule.
😀😀😀 yeye ni chauffeur kwa hivyo ni rahisi kufanya unavyomuagiza! I will be waiting for Him.
 
😀😀😀😀😀wacha nimalize kuoga alaf nishuke chini au nimuazie hapa hapa nyumban😛😛😛
swali la kizushi tu kwa hawq wakenya.......hivi kweli watakuwa tiyari wamewash miili yao......maana asili ya mkenya ni uchafu...
 
inaonekana kenya gari ni very expensive product kumilikiwa na kijana.

ndio maana wakenya wengi wana
mu-attack ichoboy kwa ku-post gari lake.
it is like they don't believe if that car belongs to him. smh
 
inaonekana kenya gari ni very expensive product kumilikiwa na kijana.

ndio maana wakenya wengi wana
mu- attack ichoboy kwa ku post gari lake. it is like they don't believe if that car belongs to him. smh
hata ingekuwa chip tatizo asilimia kubwa ya wakenya ni masikini wakutupwa
 
Haya sasa chukua karai ya kuoshea gari la Muhindi kabla umwage unga! 😀
hasira hasara ujue hapa niko nachek movie na ipad air 2
2245719F-9DC2-4F21-AFE4-6F7105B96653.jpeg
BD8CCAAE-7F37-49CD-8EC3-D90BA85FC542.jpeg
 
Back
Top Bottom