Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wewe ni chizi........kweli ngoja nikufunze kitu

mziki hauna lugha bro kikubwa nikufanya mziki mzuri tu,,,,,na dunia haina lugha moja zipo tofauti hao wanaoijua english mbona wanazisikiliza nyimbo za kimexico na kwenye club zao zinapigwa mara kwa mara....

nakwajinsi ulivyo mpuuzi hata wewe mwenyewe umewahi kuzisikiliza nyimbo za mexican,indian inamaana unazielewa
Upeo wa wakenya ni kituko,huwa nashangaa wanajidai kwanini!!!!
 
hio sio altezza wewe hio ni lexus ya mwingerez hehehe
mapovu mpaka mwisho😀😀😀😀😀 munajifanya muko europe kumbe uwozo wa bata😛😛

hzo crown athlete za 2010 zimejaa dar es salaam tena zinapendwa ile mbaya

endeleeni kuendesha probox maana nusu ya magari ya kenya ni probox heheheheh wakat probox dar unaeza kuta hazizidi 10😀😀😀
Lexus is another fancy name for toyota
 
hio sio altezza wewe hio ni lexus ya mwingerez hehehe
mapovu mpaka mwisho😀😀😀😀😀 munajifanya muko europe kumbe uwozo wa bata😛😛

hzo crown athlete za 2010 zimejaa dar es salaam tena zinapendwa ile mbaya

endeleeni kuendesha probox maana nusu ya magari ya kenya ni probox heheheheh wakat probox dar unaeza kuta hazizidi 10😀😀😀
Unakuanga na kiherehere sana boss
Screenshot_20180530-185027.jpg
 
wewe ni chizi........kweli ngoja nikufunze kitu

mziki hauna lugha bro kikubwa nikufanya mziki mzuri tu,,,,,na dunia haina lugha moja zipo tofauti hao wanaoijua english mbona wanazisikiliza nyimbo za kimexico na kwenye club zao zinapigwa mara kwa mara....

nakwajinsi ulivyo mpuuzi hata wewe mwenyewe umewahi kuzisikiliza nyimbo za mexican,indian inamaana unazielewa
... jibu zuri asipokuelewa basi juwa huyo ni kilaza kama walivyo wakenya wengine wa jf.
 
... jibu zuri asipokuelewa basi juwa huyo ni kilaza kama walivyo wakenya wengine wa jf.
harudi huyo........ila kadhihirisha kuwa hakuna anachojua na hana idea ya mziki hata kidogo....

type ya watu kama hao duniani huwa ni wasindikizaji
 
Back
Top Bottom