Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
gud sana broichoboy01 be like dar ni kubwa sana ata posta pekee uwezi pata na licha moja😀😀😀View attachment 789619 View attachment 789620
gud sana broichoboy01 be like dar ni kubwa sana ata posta pekee uwezi pata na licha moja😀😀😀View attachment 789619 View attachment 789620
nimempa pongezi......anayejiita bottas
hio sio altezza wewe hio ni lexus ya mwingerez heheheIve noticed something about tz,in kenya these altezzas were mostly noticed around 2007-2010 but whenever im in tz i still see them same as toyota crown athlete 2007,ive been noticing them in tz alot while kenya we now mostly hav the 2010 model
local housesBogani estate
nilishawaambia kuhusu probox.hio sio altezza wewe hio ni lexus ya mwingerez hehehe
mapovu mpaka mwisho😀😀😀😀😀 munajifanya muko europe kumbe uwozo wa bata😛😛
hzo crown athlete za 2010 zimejaa dar es salaam tena zinapendwa ile mbaya
endeleeni kuendesha probox maana nusu ya magari ya kenya ni probox heheheheh wakat probox dar unaeza kuta hazizidi 10😀😀😀
Ako kwa kiti cha nyuma kwenye jam na anasema gari ni lake.😀😀Chunga boss asikupate ukitapatapa ndani ya gari lake.
uhahahah 😀😀😀😀 nafurah kuona vile makamas yakiwatoka😛😛😛😛Ako kwa kiti cha nyuma kwenye jam na anasema gari ni lake.😀😀
asante kwa porojo...Dar hamna magari labda daladala na basi kadhaa za BRT ndio maana unaweza uka-drive daladala more than 50km usikutane na gari private... 😀😀

haelewi huyouhahaha kwan uliambiwa hio nyumba ananunuliwa ndio inathaman kubwa sana dar 😀😀😀😀 mbona hua unakua bogus sana hio ni nyumba ya kawaida sana dar na unaeza kuta iko mbezi beach over 30km from CBD😛😛😛😛
dharau zenu ndizo ziliwafkisha hapa mulipo dont take everything simple tu kariakoo kununua kiwanja tu naongelea kiwanja tu not less than 2b tsh and above
mm nina mwezi mzima sijakutana na probox😀😀nilishawaambia kuhusu probox.
kwamba tanzania probox ni gari ya hadhi ya chini sana na sio nyingi kihivyo.
kwa hapa dar inaweza ikakuchukua hata siku nzima usikutane na probox barabarani.
This is a Lexus IS200 - a 1998 model. This is a very old car. You need to upgrade bwana.hehehehh😀😀😀 nishafika home
kitu cha mwingerez hicho😛😛😛
mwaswast roho inamtoka anataman angezaliwa tanzania hehheheh
View attachment 789971
View attachment 789974
View attachment 789978
View attachment 789980
View attachment 789982
utafanya waache ku discuss issues waanze ku attack race yako.hehhe feelings zimekukamata kisawasawa😀😀
hapa yenyewe niko my own car lexus manual 7 speed transmission hehehe😀😀😀😀 260km per hr
View attachment 789953

"mysweet" udenda unamtoka.....anajuta kuzaliwa mkenya kilaza.hehehehh😀😀😀 nishafika home
kitu cha mwingerez hicho😛😛😛
mwaswast roho inamtoka anataman angezaliwa tanzania hehheheh
View attachment 789971
View attachment 789974
View attachment 789978
View attachment 789980
View attachment 789982
hasa kama alisomea kenya ..........kipi kinachokutatizaNimesoma pahali alisomea Kenya from Moshi...iyo kizungu anaimba si ya bongo.
Tayari huyu hapa.This is a Lexus IS200 - a 1998 model. This is a very old car. You need to upgrade bwana.
utafanya waache ku discuss issues waanze ku attack race yako.
mda si mrefu wataanza ku catch mafeelings.![]()
![]()
![]()
![]()
Tayari huyu hapa.This is a Lexus IS200 - a 1998 model. This is a very old car. You need to upgrade bwana.
utafanya waache ku discuss issues waanze ku attack race yako.
mda si mrefu wataanza ku catch mafeelings.![]()
![]()
![]()
![]()
mafeelings...Ako kwa kiti cha nyuma kwenye jam na anasema gari ni lake.😀😀

wewe ni chizi........kweli ngoja nikufunze kituSasa nani anaelewa kiswahili abroad.....
kama si Kenyan Diaspora walio wengi especially US sijui wangeperformia nani
Haha. What're these..? Nkileta yangu utakimbiahehehehh😀😀😀 nishafika home
kitu cha mwingerez hicho😛😛😛
mwaswast roho inamtoka anataman angezaliwa tanzania hehheheh
View attachment 789971
View attachment 789974
View attachment 789978
View attachment 789980
View attachment 789982
usinikumbushe kuhusu probox...zimejaa sana kenya hizo gari kiasi kwamba wakora na wasafirisha miraa huzitumia katika kazi zao.
hapa dar unaweza uka-drive more than 50 kilometers usikutane na probox but sio kenya...kenya kila baada ya nusu kilomita unapishana na probox ishirini.![]()
![]()
![]()
![]()
ndiyo maana limemkaa mdomoni