Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar Es salaam - City center - Kigamboni - Kariakoo
IMG_20170612_130502_989-960x960.jpg

Source
 
Hapa sioni ya hizo hela😀😀😀
dar_es_salaam_skyline.jpg
Ukishuka hapo chini hutaamini nyumba utakazozikuta. Tz ni tofauti sana na nchi nyingi duniani. Unaweza kwenda Manzese ukakutana na nyumba ukajiulize imekuwaje ipo Manzese. Ungekuwa mwenyeji Dar ningekwambia upite njia ya Tandale inayotoka Magomeni hapo katikati kuna nyumba za ghorofa huwezi kuamini kama zipo hapo uswazi. Tena moja jamaa huwa anajaza magari parking kuna VX,RR,X5,Jeep Grand Cherokee latest models.
 
Hahaha Mnapata revenue kiasi gani...
huhu iyo nyumba ni only 10M Kenyan shilling....
porojo...

endeleeni kufanya music tour mashinani... wasanii wetu kila siku wanapanda ndege kwenda kufanya show nchi za nje.
 
Ukishuka hapo chini hutaamini nyumba utakazozikuta. Tz ni tofauti sana na nchi nyingi duniani. Unaweza kwenda Manzese ukakutana na nyumba ukajiulize imekuwaje ipo Manzese. Ungekuwa mwenyeji Dar ningekwambia upite njia ya Tandale inayotoka Magomeni hapo katikati kuna nyumba za ghorofa huwezi kuamini kama zipo hapo uswazi. Tena moja jamaa huwa anajaza magari parking kuna VX,RR,X5,Jeep Grand Cherokee latest models.
Pinpoint your location hapa
dar_es_salaam_skyline.jpg
 
porojo...

endeleeni kufanya music tour mashinani... wasanii wetu kila siku wanapanda ndege kwenda kufanya show nchi za nje.
Pia huku wao hufanya ivo...si kitu ya kujivunia...ata madj kama kina Kalonje,Mfalme,Creme wao upiga shows kibao abroad.
 
Back
Top Bottom