ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
akikupa ushaidi unitag😀😀😀😀😀😀Ya kwako umenunua bei gani? $1,000,000 ?
akikupa ushaidi unitag😀😀😀😀😀😀Ya kwako umenunua bei gani? $1,000,000 ?
akikupa ushaidi unitag😀😀😀😀😀😀
Hapa sioni ya hizo hela😀😀😀Ya kwako umenunua bei gani? $1,000,000 ?
Ukishuka hapo chini hutaamini nyumba utakazozikuta. Tz ni tofauti sana na nchi nyingi duniani. Unaweza kwenda Manzese ukakutana na nyumba ukajiulize imekuwaje ipo Manzese. Ungekuwa mwenyeji Dar ningekwambia upite njia ya Tandale inayotoka Magomeni hapo katikati kuna nyumba za ghorofa huwezi kuamini kama zipo hapo uswazi. Tena moja jamaa huwa anajaza magari parking kuna VX,RR,X5,Jeep Grand Cherokee latest models.Hapa sioni ya hizo hela😀😀😀
![]()
uhaha msanii wakike na nikatika wasanii wadogo tu tanzania😀😀😀😀😀😀Very cheap sawa na buruburu
Mkuu waite wale waliokuwa wanasema ukipiga picha CBD Dar lazima zile triplets zitokee!
uhaha msanii wakike na nikatika wasanii wadogo tu tanzania😀😀😀😀😀😀
View attachment 789760 View attachment 789761 View attachment 789762 View attachment 789763 View attachment 789764 View attachment 789766 View attachment 789767
Nimesoma pahali alisomea Kenya from Moshi...iyo kizungu anaimba si ya bongo.uhaha msanii wakike na nikatika wasanii wadogo tu tanzania😀😀😀😀😀😀
View attachment 789760 View attachment 789761 View attachment 789762 View attachment 789763 View attachment 789764 View attachment 789766 View attachment 789767
porojo...Hahaha Mnapata revenue kiasi gani...
huhu iyo nyumba ni only 10M Kenyan shilling....

another porojo...Nimesoma pahali alisomea Kenya from Moshi...iyo kizungu anaimba si ya bongo.

hapana comrade, hapo sio SA,hapo ni kituo cha kulea watoto yatima kipo sam nujoma road njia panda ya kuelekea kituo cha daladala cha ubungo-mawasiliano.Mkuu mbona unaweka picha za SA? 🙂🙂🙂
Pinpoint your location hapaUkishuka hapo chini hutaamini nyumba utakazozikuta. Tz ni tofauti sana na nchi nyingi duniani. Unaweza kwenda Manzese ukakutana na nyumba ukajiulize imekuwaje ipo Manzese. Ungekuwa mwenyeji Dar ningekwambia upite njia ya Tandale inayotoka Magomeni hapo katikati kuna nyumba za ghorofa huwezi kuamini kama zipo hapo uswazi. Tena moja jamaa huwa anajaza magari parking kuna VX,RR,X5,Jeep Grand Cherokee latest models.
Just being sarcastic...hapana comrade, hapo sio SA,hapo ni kituo cha kulea watoto yatima kipo sam nujoma road njia panda ya kuelekea kituo cha daladala cha ubungo-mawasiliano.
nilijua tu kaka...Just being sarcastic...

go on dreaming hehehe roho zinawatoka usiku na mchana😀😀😀😀😀Nimesoma pahali alisomea Kenya from Moshi...iyo kizungu anaimba si ya bongo.
hapo ni dar kaka sio south africa kituo hicho cha watoto yatima, dar ni kubwa sana kakaMkuu mbona unaweka picha za SA? 🙂🙂🙂
Pia huku wao hufanya ivo...si kitu ya kujivunia...ata madj kama kina Kalonje,Mfalme,Creme wao upiga shows kibao abroad.porojo...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
endeleeni kufanya music tour mashinani... wasanii wetu kila siku wanapanda ndege kwenda kufanya show nchi za nje.