Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tulitoka huko miaka 20 iliopita na sasa tuko hapa😀😀😀😀😀😀😀😀
mwendo.jpg

SCZH8657.png
WZKZ7166.png
DART-BRT-Dar-Es-Salaam.jpg
Dar-BRT-32-of-32-1-e1499356672714.jpg
jpm_to_launch_brt_operations_h400_5850a.jpg
11:35 am 27th may 2018 😀😀😀
DeQ6NmpXcAA4PVF.jpg
 
picha hujaprove wapi sehemu imeandikwa hapo ni dar mbona link hua munatuma humu ndani leta ushahidi kua hapo ni dar kama wewe ni mwanaume unaejiamini
mwanaume kujiamni leta ushahidi hapa ni sawa mm nipost hii picha alaf niseme nairobi wewe siutaniomba ushahidi
2007092611.jpg
is too bad aisee
 
😀😀😀😀😀😀 kweli wakenya mumefkia level ya failed state
 
nchi inakufa kwa madeni na watu pia wanakufa kwa madeni 😱😱😱😱
100ksh inatoa roho ya mkenya ohh my GOD

 
jaribu tu kugusa kokote alaf utajionea mwenyewe maana hii thread imewafungua sana macho😀😀😀
Unasemaje kutoka leo nianze kuita Dar es salaam dara salima😀😀😀. Ama unasemaje kaka?
 
Usiingie na gari binafsi mjini.

Serikali yenye majibu mepesi ktk maswali magumu,wapi 6lanes,wapi bypass??wapi outering.
zilijengwa bila mawazo sahihi yani walichofanya ni kupanua barabara zile zile instead of kubuni barabara mpya ndani ya jiji heheh😀😀😀

ukiwaambia ukweli tu wanakua wakali sana
 
Back
Top Bottom