Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

jaribu tu kugusa kokote alaf utajionea mwenyewe maana hii thread imewafungua sana macho😀😀😀
Wewe wacha utoto na vitisho habari za hoteli tulimaliza na kama unataka re match fungua uzi, nyi na mdomo hamjambo. Ukifungua uzi unitag tuheshimiane leo
 
Wewe wacha utoto na vitisho habari za hoteli tulimaliza na kama unataka re match fungua uzi, nyi na mdomo hamjambo. Ukifungua uzi unitag tuheshimiane leo
tuheshmiane hapa hapa anzisha hapa hapa alaf uone sasa kwann tukajifiche wakat sehemu ipo hapa hapa kwenye watu wengi ndio tutaheshmiana vzr😀😀😀😀

unataka kificho cha nn wakat thread iko hapa
try and see
 
unajua mm swali najiuliza how do people survive ndani ya hzi vibanda wall ni mabati 😱😱😱😱
yani najiuliza na jibu sipati aisee

 
DAR ES SALAAM
10475520_1552907631617037_5990751548581294976_n.jpg
 
mimi nimeprove na picha sasa wewe disaprove na picha...hahaha 😀😀😀😀😀
picha hujaprove wapi sehemu imeandikwa hapo ni dar mbona link hua munatuma humu ndani leta ushahidi kua hapo ni dar kama wewe ni mwanaume unaejiamini
mwanaume kujiamni leta ushahidi hapa ni sawa mm nipost hii picha alaf niseme nairobi wewe siutaniomba ushahidi
2007092611.jpg
 
picha hujaprove wapi sehemu imeandikwa hapo ni dar mbona link hua munatuma humu ndani leta ushahidi kua hapo ni dar kama wewe ni mwanaume unaejiamini
mwanaume kujiamni leta ushahidi hapa ni sawa mm nipost hii picha alaf niseme nairobi wewe siutaniomba ushahidi
2007092611.jpg
shika ushahidi babaa
upload_2018-5-28_12-37-27.jpeg
 
Back
Top Bottom