Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni sawa haina shida....kongole kwa cousin yako kukimbia uchichole wa Dar na kukuja Nairobi, jiji kuu la Africa mashariki. Naamini hiyo gari ilitumia njia wala haikupaa angani. Bado nakuuliza, ulitumia barabara gani kutoka juja kuja mjini?
ukikua utaacha wacha nikuache ukue maana naona sasa huna chakuzungumza😀😀😀
nilikua napitia embu nairobi highway
 
Hiyo sio bedsitter, that's a screenshot of an earial view. Vipi wewe!! Nashuku umekunywa mchuzi wa albino lunch imekulemea hadi hujui unachosema
hehehe hio slum unasema bedsitter we nzima kweli yani huoni aerial view ya slum hapo??😀😀😀
 
The most modern indoor arena in East Africa.
moi-international-sports-centre-3.jpg
Kasarani%20volleyball%20court.jpg
nicd
 
ukikua utaacha wacha nikuache ukue maana naona sasa huna chakuzungumza😀😀😀
nilikua napitia embu nairobi highway
Yani ulitoka Juja ukapitia Embu kukuja Nairobi!!!??? Hehehe Wewe unajua Embu iko wapi hapa kenya? Muda huu wote nilikuwa najua tu hujui unachkosema wala hujawahi kanyaga Nairobi ndo maana nilikuwa nakuuliza hayo maswali. Kazi yako ni kuporokwa tu bila ya kujua unachosema. In fact hujakanyaga nje ya mbagala Dar na huku unajifanya vile unajua Nairobi. Wewe unajua Nairobi kwa ndoto tu na labda kusoma kwenye vyomba vya habari
 
Back
Top Bottom