Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

povuuuuuuu.....flyover ya kwanza?really????how many years after independence....hahaaaaaa
Akili yako inawaza ya kwanza kumbe hahahhahahahaahah😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Capture 1_zpspzpkhzmf.png
 
no my nigga. you have a long way to catch up with Kenya
Ndio akili yako inavokutuma basi kaa mkao wa kula utaelewa tu kwan sisi hua tunaongea baba hehehehe usitoe povu tu😀😀😀😀
 
Zinajengwa 3 kwa mpigo hhahhahaha aise magufuli ni motoooooooooo
Tazara
Flyover_zpsb4efd60b (1).jpg

Ubungo baby
C5hKPu3WYAIvfno.jpg

Tabata fly over hahahahha
IMG_20170331_083213.jpg

Zote under construction kwa pamoja hahahahhaha dar tamuuuuuuuuuuuuuuu
 
itakayojengwa??? you already have so many "white elephants" in store. am sure not even a single stone has been cast
 
lakini nyinyi ndugu zangu watanzania munanishangaza sana. kisha munasema wakenya wamewadharau... sio kupenda kwa wakenya kuwadharau, ni venye akili zenu bado zimelala. kuna flyovers katika miji ya Mombasa na Kisumu... nyinyi bado munangoja mpaka mukuwe collonised na wakenya ndio mutaamka
Is kisumu a city hahahhahahaha 😀😀😀😀 unajitekenya sindio hhahhaha....kinawasha au sio utaelewa tu
 
itakayojengwa??? you already have so many "white elephants" in store. am sure not even a single stone has been cast
Haya msikizeni huyuuu anabeep 
😀😀😀😀 akiambiwa under construction hua hawataki hahahahahhahaha nenda google majina unayajua watakuleta everything 😀😀
 
Is kisumu a city hahahhahahaha 😀😀😀😀 unajitekenya sindio hhahhaha....kinawasha au sio utaelewa tu
Kisumu imedevelop hata kushinda Tanzania my brother. nyinyi endeleeni kulala. Lets compare Dar is slum vs Eldoret kwa sasa. na musipochunga hata Eldoret pia inawapita. sijataja Nakuru pia
 
City taxi of mombasa hahahah ni tuktuk ona hii aibu hhahhaa alaf anakuja hapa anataka sifa 😀😀😀😀😀😀
download (11).jpg
 
Edward wanjala tuambie hio barabara ya chini inaitwaje na iko wapi hahhahahahahahha😀😀😀😀😀😀😀😀😀 hakuna ujanja hapa unaiba picha unatuletea hapa nimeshakwmbia nairobi naifahamu bro don't force kila kitu kiwezekane hahahaahahah
View attachment 490710
The lower one is nairobi nakuru highway...the upper one is still the high way entrance into naovasha
 
Haya msikizeni huyuuu anabeep 
😀😀😀😀 akiambiwa under construction hua hawataki hahahahahhahaha nenda google majina unayajua watakuleta everything 😀😀
saa hii munaanza kujenga izo vitu zenu... munadhani Kenya itakuwa imesimama pale pale sio? Google Konza Techno City na uwache pang'ang'a
 
Umeona city taxi hizo hhahhahahha tafuta Tanzania kama utakuta hio 😀😀😀😀😀😀
Ochoboy 11 wewe ujinga yako siezi kisaidia......post kenye unataka kudeal na mjinga ni kazi siwezagi...
Juu wewe hunaga facts ata Anal afadali
 
Kisumu imedevelop hata kushinda Tanzania my brother. nyinyi endeleeni kulala. Lets compare Dar is slum vs Eldoret kwa sasa. na musipochunga hata Eldoret pia inawapita. sijataja Nakuru pia
😀😀😀😀😀😀 naona Leo umeamua kuonge ujinga tu kwan hujui slum iliko hehehe hio hapo the biggest slum on planet hahaha.....
Screenshot_2017-04-03-23-16-56.png

Niliwaambia kwa dar ingizeni nairobi,mombasa and kisumu alaf muje na hio 1196 km sq wakat dar ina 1590 km sq
 
Ochoboy 11 wewe ujinga yako siezi kisaidia......post kenye unataka kudeal na mjinga ni kazi siwezagi...
Juu wewe hunaga facts ata Anal afadali
😀😀😱😀😀😀😀😀😱😀😀😀 povuuuuuuuu baby ukweli unauma aiseeee
 
saa hii munaanza kujenga izo vitu zenu... munadhani Kenya itakuwa imesimama pale pale sio? Google Konza Techno City na uwache pang'ang'a
😀😀😀😀😀 hata ukikataa wewe ujenzi hausimami hahahaha dar es salaam the biggest urban city in east Africa hahhahaha
 
Sasa wewe unajua uber ilifika Mombasa one year later ikafika dar....sijui utasaidika aje.
Alafu dar sikumejaa ma bajaji
Sijawah ona taxi as car in mombasa labda uende airport , town taxi ni tuktuk hahahahaha unakataa sasa 😀😀😀😀😀😀😀😱😀
 
Back
Top Bottom