Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bongo
FB_IMG_1491414887054.jpg
 
Ndio, lakini si fair kumlimbikizia sifa JP kwa initiatives ambazo hata si zake. Nearly miradi 90% zinazoendelea kwa sasa zilihasisiwa na serikali ya kikwete, uchumi wa Tz kwa miaka 10 iliopita imekuwa ikikuwa kwa kasi, +7%, kipindi cha JK. Humu watu husema ni kutokana na JP. Lakini tazama comments za observers wengi wanavyomcriticize JP jinsi anavyohandle uchumi kwa sasa. Tafadhalini, mpeni angalau miaka minne ndio mjue kama kweli yeye anafaa kuendesha taifa hilo au la. JP anablunder, haonekani kuwa na ile hekima ya JK.

Lakini kusema kweli, Tz imetoka mbali sana. Hongera zenu, lakini Kenya bado iko mbaaaaali kidogo.

592917-happy-fan.jpg
Hahaha unauma na kupuliza kikwete kafanya kazi kubwa SNA na magufulia anaendelea kufanya kazi kubwa pia so wote ni watu wakazi alaf mm siku zote nakwambia dar ni kubwa sana tena sana kwa nairobi yani ukubwa wa dar ingiza nairobi,mombasa na kisumu na utakuja kuamini maneno yangu we kua mpole tu.....Tanzania ni habari nyingine kabisaaaa.....2017
 
Ndugu unajua maana ya kusmama kwa mradi sijakwambia haijaanza ila nimekwambia mradi umesmama ujenzi kutoka na serekali kupungukiwa pesa 2 trillion ksh ndio maana serekali ikatangaza kusimamisha mradi hahahahhaha hata serekali yenu huiamini
 
Ndio, lakini si fair kumlimbikizia sifa JP kwa initiatives ambazo hata si zake. Nearly miradi 90% zinazoendelea kwa sasa zilihasisiwa na serikali ya kikwete, uchumi wa Tz kwa miaka 10 iliopita imekuwa ikikuwa kwa kasi, +7%, kipindi cha JK. Humu watu husema ni kutokana na JP. Lakini tazama comments za observers wengi wanavyomcriticize JP jinsi anavyohandle uchumi kwa sasa. Tafadhalini, mpeni angalau miaka minne ndio mjue kama kweli yeye anafaa kuendesha taifa hilo au la. JP anablunder, haonekani kuwa na ile hekima ya JK.

Lakini kusema kweli, Tz imetoka mbali sana. Hongera zenu, lakini Kenya bado iko mbaaaaali kidogo.

592917-happy-fan.jpg


Usijali Kikwete ana nafasi yake Tanzania kama walivyo Maraisi wetu wote waliopita, kuanzia Muasisi wetu Nyerere na Ujamaa wake pmj na mapungufu lkn umetufanya tuwe jinsi tulivyo, akaja Mzee Mwinyi ambaye aliifungua nchi yetu kwa Mataifa ya nje na wageni wakaanza kuja Tanzania kuanzia miaka ya 90' baada ya hapo akaja Mkapa na yeye akaanza kuleta Wawekezaji na kuanza kuleta big investments nchini mwetu kama mining, Gas n.k. Mkapa akamkabidhi Mzee Kikwete na yeye pia akaendeleza pale alipochukuwa ktk kwa Mzee Mkapa na kutufikisha mpka hapa ambapo uchumi wetu umefikia 7% ktk minus growth kipindi cha Nyerere, na sasa Awamu ya V ya mwenyewe JPM pia imechukuwa itaendeleza vile itakavyoweza na yeye 2020/ 2025 ni lazima ampishe mwingine, ...
 
Wacha utani, unafikiria Nairobi ni karioko yenyu! ati dar unaingisha nai, msa na ksm! wikipedia na google zimewafunga akili. Fikisheni dar mahali Nairobi iko kwanza kimaendeleo na upana wa maendeleo, sio ukubwa wa watu(poppulation) na wengi hawajiwezi. Tembea ujionee kama wenzako wanavyo kuja michezo na mikutano ya kanisa, wanabigwa na butwa na kusema "DAR KUMBE BADO TUKO NYUMA, TUTAFIKA!" this is 2017, take a trip, wacha internet.
 
Wacha utani, unafikiria Nairobi ni karioko yenyu! ati dar unaingisha nai, msa na ksm! wikipedia na google zimewafunga akili. Fikisheni dar mahali Nairobi iko kwanza kimaendeleo na upana wa maendeleo, sio ukubwa wa watu(poppulation) na wengi hawajiwezi. Tembea ujionee kama wenzako wanavyo ksana
michezo na mikutano ya kanisa, wanabigwa na butwa na kusema "DAR KUMBE BADO TUKO NYUMA, TUTAFIKA!" this is 2017, take a trip, wacha internet.
Kuamini ni ngumu sana hahahahahhaah
Yosef festo wewe huwez nifundisha nairobi au kisumu au mombasa hakuna sehemu hapo sijakaa na ninapoengea kua dar ni kubwa sana namaanisha kweli, ukubwa was dar chukua nairobi ongeza kisumu ongeza na mombasa bado kwa ukubw hauipati.....kila unachikiona kipo city zenu tatu dar imekusanya kwa pamoja ndio maana nakwambia dar ni kubwa sana tena sana
Kazi ipooooooooo hahahhhhahahahah  unatoa povuuuu la nini sasa hahahah😀😀😀😀😀
 
Pata information from neutral sources, kama rwandese, wamalawi, burundians n ugandans wenye wametembea pande zote, wachana na wakenya na watanzania na mitandao, hapa kuna mapendeleo na blind patriotism, utaelezewa peupe, Dar bado sana, ni ukubwa tu, well developed area and level,haiwezani na Nairobi., hiyo ata mkubali mkatae, muandike na kurusha vipicha, ukweli haubadiliki.
 
Pata information from neutral sources, kama rwandese, wamalawi, burundians n ugandans wenye wametembea pande zote, wachana na wakenya na watanzania na mitandao, hapa kuna mapendeleo na blind patriotism, utaelezea peupe, Dar bado sana, ni ukubwa tu, well developed area and level,haiwezani na Nairobi., hiyo ata mkubali mkatae, muandike na kurusha vipicha, ukweli haubadiliki.


Na huo unaouita ukweli, wewe ndiyo unaeujua?
 
Pata information from neutral sources, kama rwandese, wamalawi, burundians n ugandans wenye wametembea pande zote, wachana na wakenya na watanzania na mitandao, hapa kuna mapendeleo na blind patriotism, utaelezewa peupe, Dar bado sana, ni ukubwa tu, well developed area and level,haiwezani na Nairobi., hiyo ata mkubali mkatae, muandike na kurusha vipicha, ukweli haubadiliki.
huu msee ni kishipa sana. ii thread ikianza, wabongolala wenzake wenye washafika Kenya waliinua mikono juu na kusema Kenya/Nairobi iko ligi yake but hataki kukubali. niko sure waKenya wengi wana watch ii thread na kucheka tu na kwenda zao. waTz wote wenye naongea nao Msa wanasema dar bado ni mtoto kwa Msa. so ii thread tuibadilishe jina iwe "Dar vs Kisii"
 
huu msee ni kishipa sana. ii thread ikianza, wabongolala wenzake wenye washafika Kenya waliinua mikono juu na kusema Kenya/Nairobi iko ligi yake but hataki kukubali. niko sure waKenya wengi wana watch ii thread na kucheka tu na kwenda zao. waTz wote wenye naongea nao Msa wanasema dar bado ni mtoto kwa Msa. so ii thread tuibadilishe jina iwe "Dar vs Kisii"
Loh !kumbe mnaotokea koromije mko wengi
 
Pata information from neutral sources, kama rwandese, wamalawi, burundians n ugandans wenye wametembea pande zote, wachana na wakenya na watanzania na mitandao, hapa kuna mapendeleo na blind patriotism, utaelezewa peupe, Dar bado sana, ni ukubwa tu, well developed area and level,haiwezani na Nairobi., hiyo ata mkubali mkatae, muandike na kurusha vipicha, ukweli haubadiliki.
Povu LA nn sasa hhahhahahahha we ushawah kufika bongo au ndugu yako yoyote hahhhaa maana unaongea tu naona mambo tyt mpaka akili mumetia sasa
 
huu msee ni kishipa sana. ii thread ikianza, wabongolala wenzake wenye washafika Kenya waliinua mikono juu na kusema Kenya/Nairobi iko ligi yake but hataki kukubali. niko sure waKenya wengi wana watch ii thread na kucheka tu na kwenda zao. waTz wote wenye naongea nao Msa wanasema dar bado ni mtoto kwa Msa. so ii thread tuibadilishe jina iwe "Dar vs Kisii"
Akili yako tu hio lakin wenye akili wanaelewa dar ya 2017 maana yake nn ndio maana hata Mungu hakuwapa binaadamu wote akili sasa sikushangai sana unachoongea povuuuuuuuu hiloooooo hahahahahahahhahaha wazee wa sifaaaaaa
 
Hawana jengo refu lakushindana na bongo hawaipati pspf twin towers wala Tpa tower hahahaha...hawa wamekaa kijanja sana lakin dunia ya Leo hakuna ujanja ndio maana mpaka Leo pspf ndio inajulikana jengo refu zaidi east Africa
Nope TPA 36 floors & PSPF TWIN TOWER 35 floors.
 
Back
Top Bottom