Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani umeangilia Dar nzima ukaona hii ndio estate ya maana unaweza leta. Halafu, mbona ni estate moja tu umeleta? Dar kuna tu hiyo kijichi (kijiji)? Ndugu, tukubaliane tu kwamba Nairobi could be having some of the worst slums but it has better and organized estates than you would find anywhere in Dar. Mitaa za Nairobi ni bora tena yako organized kushinda za Dar. Kataa tu lakini huo ndo ukweli
uhaha nakutaftie picha za hapo hapo kijichi ni eneo kubwa sana tena sana 😀😀😀 ndio maana nilikwambia ww dar huijui unaisikia tu hapa ila huijui haya kaa mkao wa kunyolewa sasa😛😎😛
 
Tanzania-mwanza-train.jpg

so sgr ni gari moshi na hio ni gari moshi.....unga imetoka kwa ugali😀😀😀😀😀
bus stage level in tanzania mfike na hapa sasa😛😛😛😛
morogoro
bcccb-Msamvu.jpg
3X6A9798.jpg
3X6A9803.jpg
3X6A9817.jpg
msamvu7.jpg

View attachment 782577

800px-MbeyaStation_Jossejonathan_0.jpg

Trains+in+Tanzania_Muhiddin.jpg

hqdefault.jpg
 
One charactrristic ya slum ni mrundukano wa nyumba. Katika hiyo picha jliyoleta, hakuna "breathing space" so it qualifies to be called a slum. The second feature of a slum ni zile nyumba hupatikana huko. Hiyo picha inaonyesha nyumba za mabati zulizorundikana mahali pamoja. There are no public places, no proper planning, and no decent houses (I hear you call them dream houses) What's the difference between that picture above and Kibera? Tell me one or two differences and I will listen to you
Umetembea hio mitaa ukaona hamna public places? Umeambiwa magomeni,ilala,temeke hamna public places? No decent houses ushafika hio mitaa au una google picha tu? Kuna tofauti ya kuona picha na kuona kwa macho ukiwa hapo mtaani. Tembeeni muone. Hapo chini nakuwekea typical UK street for working class population, nyumbani zimebanana mwanzo mpaka mwisho wa mtaa. Je kwa kutazama picha hio tu utaita Slum?
Colshaw_Green_Road_Chadderton.jpg
 
natural blue water pool in Ngare Ndare forest.

DY3tNy-WAAAetHj.jpg

DY3sHTmW4AA-pOY.jpg

Nakuru highway cutting across Kinale Forest

DY3qbDHXUAAfv8G.jpg

nakuru
DXQu3EUWAAEUEQR.jpg

kenyan coast
DY3sz75WAAAw5IY.jpg

DY3s16FW4AEZlph.jpg


DY3s15MW0AAKZw0.jpg

DY3s15JW4AAa2J-.jpg
 
Umetembea hio mitaa ukaona hamna public places? Umeambiwa magomeni,ilala,temeke hamna public places? No decent houses ushafika hio mitaa au una google picha tu? Kuna tofauti ya kuona picha na kuona kwa macho ukiwa hapo mtaani. Tembeeni muone. Hapo chini nakuwekea typical UK street for working class population, nyumbani zimebanana mwanzo mpaka mwisho wa mtaa. Je kwa kutazama picha hio tu utaita Slum?
Colshaw_Green_Road_Chadderton.jpg
Hizi karibu zinafanana na za Kenya lakini za bongo la! Za Bongo ni slum. Utakua mwhu kufananisha mtaa kama huo na huu uchafu hapa.😀😀😀😀
tanzania-dar-es-salaam-aerial-view-of-slums-picture-id464670401
 
Umetembea hio mitaa ukaona hamna public places? Umeambiwa magomeni,ilala,temeke hamna public places? No decent houses ushafika hio mitaa au una google picha tu? Kuna tofauti ya kuona picha na kuona kwa macho ukiwa hapo mtaani. Tembeeni muone. Hapo chini nakuwekea typical UK street for working class population, nyumbani zimebanana mwanzo mpaka mwisho wa mtaa. Je kwa kutazama picha hio tu utaita Slum?
Colshaw_Green_Road_Chadderton.jpg
huyo bogus achana nae haijui vzr dar na siku zote yeye ni mtu wakulia lia tu
 
Back
Top Bottom